MAMA AMFANYIA MTOTO VITENDO VYA KINYAMA
![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEypz4EbOSnxVEi6M8OTMOvFKbHypadFKnqav*np0foqcK3Q69xQkBM1cNwJiEQsXa6rny*yzp3TI2OnG9aLttfx/dude2.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha MATESO! Mama wa kambo ametiwa mbaroni akidaiwa kumfanyia ukatili mtoto Sada Athuman (10), mkazi wa Yombo-Kilakala jijini Dar, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa. Mama wa kambo wa mtoto Sada Athumani. Awali, gazeti hili lilipokea ujumbe mfupi (SMS) kutoka kwa chanzo chake kuwa watu wa Ustawi wa Jamii wakishirikiana na polisi walitinga nyumbani kwa mama huyo na kumfikisha kituo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...
9 years ago
Habarileo23 Aug
RC ashtushwa na vitendo vya kinyama kwa wafugaji
MKUU wa Mkoa wa Kagera John Mongella ameshtushwa na madai ya kuwapo kwa vitendo vya kinyama dhidi ya wafugaji wanapoingiza mifugo yao kwa bahati mbaya katika hifadhi za Kimisi, Burigi na Kasindaga.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s72-c/4.jpg)
NAPE ALAANI VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lr7LWGYvO4g/UvVAls_coFI/AAAAAAAALy4/gaikn9VKfDQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cezf7fOjZG4/UvVCtJMuejI/AAAAAAAALzU/2zV13GR40JU/s1600/2.jpg)
10 years ago
Mtanzania20 Oct
Mama, watoto wachinjwa kinyama
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Mwandishi Wetu, Nzega
WIMBI la mauaji ya kutisha limeendelea kutikisa nchini, baada ya watu wasiojulikana kuwaua mama na watoto wake wawili kwa kuwakatakata kwa mapanga usiku wa kuamkia juzi.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea katika Kijiji cha Nata wilayani Nzega mkoani Tabora.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzan Kaganda, aliwataja waliouawa kuwa ni mama Leticia Thomas, Marietha Nicolaus ambaye ni mwanafunzi wa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Nzega yapunguza vifo vya mama, mtoto
WILAYA ya Nzega, mkoani Tabora imefanikiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto kutokana na wanaume kududhuria kliniki za wenzi wao pamoja na kufuata taratibu na masharti ya afya ya mama...
11 years ago
Mwananchi31 May
JK aahidi kukabili vifo vya mama, mtoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b9J_GCp6YwE/XqcoWxpX7XI/AAAAAAALoZg/EWHPhFUJuys55ASLKPS_yPu67-1ZksfUACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-1.jpg)
DC CHONJO AWAPONGEZA WAUGUZI KITUO CHA AFYA SABASABA KWA KUTOKUWA NA VIFO VYA MAMA NA MTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-b9J_GCp6YwE/XqcoWxpX7XI/AAAAAAALoZg/EWHPhFUJuys55ASLKPS_yPu67-1ZksfUACLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-02-1.jpg)
**********************
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo , amezindua
rasmi Wodi ya Wazazi ijulikanyo kwa jina la “Wodi ya Wazazi Regina
Chonjo” katika Kituo cha Afya cha Sabasaba Manispaa ya Morogoro.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo,
Mhe Chonjo, amewataka Wauguzi kutumia taaluma zao kwa uwaledi ili
Wazazi wajifungue salama.
Aidha, amekipongeza kituo hicho cha afya kwani tangia ianze huduma
ya uzalishaji haijawai kutokea...