Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAPE ALAANI VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA CHADEMA


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.Nape alisema kitendo cha wana CCM kushambuliwa ni kitendo cha kinyama na kinatakiwa kikemewe na kila mtu,pia alisisitiza Vijana wa CCM kuwalinda wapigaji kura wao siku ya kupiga kura.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na waandishi wa Habari kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA AMFANYIA MTOTO VITENDO VYA KINYAMA

Stori: Mayasa Mariwata na Gabriel  Ng’osha MATESO! Mama wa kambo ametiwa mbaroni akidaiwa kumfanyia ukatili mtoto Sada Athuman (10), mkazi wa Yombo-Kilakala jijini Dar, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa. Mama wa kambo wa mtoto Sada Athumani. Awali, gazeti hili lilipokea ujumbe mfupi (SMS) kutoka kwa chanzo chake kuwa watu wa Ustawi wa Jamii wakishirikiana na polisi walitinga nyumbani kwa mama huyo na kumfikisha kituo...

 

9 years ago

Habarileo

RC ashtushwa na vitendo vya kinyama kwa wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Kagera John Mongella ameshtushwa na madai ya kuwapo kwa vitendo vya kinyama dhidi ya wafugaji wanapoingiza mifugo yao kwa bahati mbaya katika hifadhi za Kimisi, Burigi na Kasindaga.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida

DSC03164

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo Chadema auawa kinyama Geita

Mji wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.

 

9 years ago

Dewji Blog

#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza kwa vitendo jimboni

2

Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui katika ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa vyombo vya ufuatiliaji vitendo vya unyanyasaji  bado ni changamoto

Licha ya kuwepo kwa sheria ya kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji imebainika kuwa kuna tatizo kubwa la kukosekana kwa vyombo maalumu vya ufuatiliaji wa vitendo hivyo kuanzia ngazi ya majumbani ili kuwabaini wanaotenda makosa hayo na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Vitendo vya unyanyasaji vimekuwa vikibomoa msingi imara ambao watoto wanahitaji ili wawe na afya bora na maisha yenye tija lakini pia vinasigana na haki ya msingi ya watoto kuishi salama utotoni.

Pamoja na kudaiwa kupungua kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!

1

Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).

Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Alex Msama amwaga misaada kwa vituo vya watoto yatima, alaani mauaji ya Albino yanayoendelea nchini

1

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo Tegeta jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni moja ya misaada inayotolewa katika vituo mbalimbali vya kulelea watoto yatima wakati wa msimu huu wa maadalizi ya Tamasha la Pasaka linalotimiza miaka 15 tangu lianzishwe.

Tamasha hilo Litafanyika jijini Dar es salaam Aprili 7...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema wamshukia Nape.

Kufuatia kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, (pichani) kudai vijana wa ‘Red Brigade’ wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaandaliwa kijeshi kwa lengo la kufanya ugaidi, chama hicho kimeibuka na kumkemea kiongozi huyo wa chama tawala.

Akizungumza na vijana wa chama hicho mjini Tabora juzi, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, alisema mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa chama hicho ni ya kuwajengea ukakamavu na ujasiri ili wawe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani