Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEypz4EbOSnxVEi6M8OTMOvFKbHypadFKnqav*np0foqcK3Q69xQkBM1cNwJiEQsXa6rny*yzp3TI2OnG9aLttfx/dude2.jpg?width=650)
MAMA AMFANYIA MTOTO VITENDO VYA KINYAMA
9 years ago
Habarileo23 Aug
RC ashtushwa na vitendo vya kinyama kwa wafugaji
MKUU wa Mkoa wa Kagera John Mongella ameshtushwa na madai ya kuwapo kwa vitendo vya kinyama dhidi ya wafugaji wanapoingiza mifugo yao kwa bahati mbaya katika hifadhi za Kimisi, Burigi na Kasindaga.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s72-c/4.jpg)
NAPE ALAANI VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lr7LWGYvO4g/UvVAls_coFI/AAAAAAAALy4/gaikn9VKfDQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cezf7fOjZG4/UvVCtJMuejI/AAAAAAAALzU/2zV13GR40JU/s1600/2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mtoto wa miaka 3 abakwa Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaar1GVWfR1K7vdlL7IMyDS2A*C5TOX9L2UVrqzpcZceuhPZ2rx-Qxg-VLEglrJzBW8KK36aJ7A2--UsQhJbtohrk/BACKUWAZI.gif)
MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA
10 years ago
Mwananchi24 Dec
NYANZA: Mtoto wa miaka 14 abakwa na vijana watano kwa zamu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-EpqRABVevPg/VQewp5ZRLeI/AAAAAAAAqLw/XTNm57i8eVo/s72-c/CIMG0026.jpg)
Mwanafunzi Atekwa, Abakwa na Kuuwawa Kinyama..
![](http://3.bp.blogspot.com/-EpqRABVevPg/VQewp5ZRLeI/AAAAAAAAqLw/XTNm57i8eVo/s1600/CIMG0026.jpg)
Akizungumzia tukio hilo la kusikitisha sana, mama mdogo wa marehemu, Doto Lucas alisema:“Siku ya tukio ambayo ni Alhamisi iliyopita (Machi...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
RC Dk. Kone ataka wanawake Singida wawezeshwe kiuchumi ili kuachana na vitendo vya ukeketaji
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku mbili la ukeketaji lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Katala Hotel Beach mjini Singida. Kongamano hilo lilihudhuriwa na wadau kutoka mikoa mitano hapa nchini ukiwemo wa Singida. Kongamano hilo lililoratibiwa na TAMWA na UNFPA, kwa kauli moja pamoja na mambo mengine, limeazimia kuongeza mapambano dhidi ya ukeketaji na kuitaka jamii katika mikoa yote nchini kuondokana na mila potofu na...