Mwanafunzi Atekwa, Abakwa na Kuuwawa Kinyama..
![](http://3.bp.blogspot.com/-EpqRABVevPg/VQewp5ZRLeI/AAAAAAAAqLw/XTNm57i8eVo/s72-c/CIMG0026.jpg)
DUNIA imekwisha jamani! Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Mabibo, Dar, Irene Said (15) ametekwa, amebakwa na kuuawa kikatili kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili huku ikidaiwa kuwa, kijana mmoja asiyejulikana alifika nyumbani kwao, Kigogo Luhanga na kutaka kiroba na mtu mmoja waongozane akabebe ndizi.
Akizungumzia tukio hilo la kusikitisha sana, mama mdogo wa marehemu, Doto Lucas alisema:“Siku ya tukio ambayo ni Alhamisi iliyopita (Machi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4ytL8cPWxKozC9mtO9EMTg1-MG-*yzbf-kV3oBhqUktRrGNQZiqqZFfGag7fL5lf-15wAM9ppYZPXABoKMzbLjP/mtoto.jpg)
MTOTO ATEKWA, ABAKWA, ATOBOLEWA MACHO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaar1GVWfR1K7vdlL7IMyDS2A*C5TOX9L2UVrqzpcZceuhPZ2rx-Qxg-VLEglrJzBW8KK36aJ7A2--UsQhJbtohrk/BACKUWAZI.gif)
MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLO6VB1VFlx97ZE2VTx2GjjLnz7pzn7CQlEgUYPAhhEYeaPtIZJbVVIWJPAs*RbXAPwT5fVF26PLFa9jxZtTFJ5/21.jpg?width=650)
MWANAFUNZI ATEKWA, AUAWA
10 years ago
CloudsFM09 Jan
MWANAFUNZI ABAKWA, AFARIKI
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Rwanda Nzovwe jijini Mbeya , Elika Mkubwa (8), amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulukana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema baada ya watu hao kufanya unyama huo, waliuweka mwili wa mtoto huyo katika sinki la kuogea kwenye nyumba moja ambayo haijakamilika ujenzi wake. Pamoja na hayo, alisema upelelezi bado unaendelea ili kuwabaini waliohusika na tukio hilo.
Akizungumza eneo la tukio, kiongozi wa Mtaa wa...
10 years ago
Habarileo19 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita abakwa na watu sita
MWANAFUNZI wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 13 wa shule ya msingi ya Themi iliyopo jijini Arusha mkoani Arusha hali yake siyo nzuri baada ya kunajisiwa na watu sita.
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 1000 wakisiwa kuuwawa Sudan Kusini
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
Picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).
Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...