MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA
![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaar1GVWfR1K7vdlL7IMyDS2A*C5TOX9L2UVrqzpcZceuhPZ2rx-Qxg-VLEglrJzBW8KK36aJ7A2--UsQhJbtohrk/BACKUWAZI.gif)
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa NIkweli dunia imekwisha! Ni vigumu kuamini mtoto mdogo ambaye anahitaji uangalizi na ulinzi kutoka kwa jamii anageuzwa mwanamke na kuingiliwa kwa nguvu hadi mauti. Huu ni unyama na ukatili wa hali ya juu. Mtoto Ester Banzi enzi za uhai wake. Tukio hilo la kutisha lilitokea katikati ya wiki iliyopita, Tabata Msimbazi jijini Dar ambapo mtoto Ester Banzi ,5, (pichani) alikutwa na mauti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4ytL8cPWxKozC9mtO9EMTg1-MG-*yzbf-kV3oBhqUktRrGNQZiqqZFfGag7fL5lf-15wAM9ppYZPXABoKMzbLjP/mtoto.jpg)
MTOTO ATEKWA, ABAKWA, ATOBOLEWA MACHO
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Msichana abakwa hadi kufa
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mtoto wa miaka 3 abakwa Afghanistan
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Mtoto wa miaka minne atekwa Mwanza
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
10 years ago
Mwananchi24 Dec
NYANZA: Mtoto wa miaka 14 abakwa na vijana watano kwa zamu
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-EpqRABVevPg/VQewp5ZRLeI/AAAAAAAAqLw/XTNm57i8eVo/s72-c/CIMG0026.jpg)
Mwanafunzi Atekwa, Abakwa na Kuuwawa Kinyama..
![](http://3.bp.blogspot.com/-EpqRABVevPg/VQewp5ZRLeI/AAAAAAAAqLw/XTNm57i8eVo/s1600/CIMG0026.jpg)
Akizungumzia tukio hilo la kusikitisha sana, mama mdogo wa marehemu, Doto Lucas alisema:“Siku ya tukio ambayo ni Alhamisi iliyopita (Machi...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Ajinyonga hadi kufa Dar
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema juzi saa...