Msichana abakwa hadi kufa
>Mfanyakazi wa ndani, Isabella Andrew (18), amefariki dunia na kifo chake kikidaiwa kusababishwa na kubakwa na watu wasiojulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM23 Jul
MSICHANA ABAKWA HADI KUFARIKI DUNIA
Mfanyakazi wa ndani, Isabella Andrew (18), amefariki dunia na kifo chake kikidaiwa kusababishwa na kubakwa na watu wasiojulikana.Mwili wa msichana huyo ulikutwa ukiwa umeharibika katika moja ya pagale, lililopo Area C, Dodoma Mjini na mwandishi wetu alishuhudia ukitolewa hapo kwa machela huku polisi wakiwahoji mashuhuda wa tukio hilo.
Mkazi wa Mtaa wa Kiwanja cha Ndege, Jackson Coy aliyekuwa akiishi na binti huyo alisema msichana huyo alipotea tangu Jumamosi iliyopita.
Kamanda wa Polisi Mkoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaar1GVWfR1K7vdlL7IMyDS2A*C5TOX9L2UVrqzpcZceuhPZ2rx-Qxg-VLEglrJzBW8KK36aJ7A2--UsQhJbtohrk/BACKUWAZI.gif)
MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA
11 years ago
Habarileo18 May
Adaiwa kujinyonga hadi kufa
MKAZI wa Morogoro Said Tenga (53), amekutwa amekufa kwa kujinyonga chumbani.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Ajinyonga hadi kufa Dar
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema juzi saa...
10 years ago
Habarileo28 Dec
Apigwa mawe hadi kufa
MKAZI wa kitongoji cha Mnele kijiji cha Chinongwe B katika kata ya Chinongwe wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Longino John (35) ameuawa kwa kupigwa mawe na hatimaye kuchomwa moto kwa madai ya kumjeruhi Mendrati Chinguile (63) ambaye ni mlemavu wa macho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*UjH3BUcmkv*75dzCn1oGWYcFMkE4qLCullfEFkJfcc-hbPKDoBWg0WadnRn07X-EMzeMN6i7m3HLqYqLf3LClD/5.jpg)
VIBAKA WACHOMWA MOTO HADI KUFA
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Eid: 24 wakanyagwa hadi kufa Guinea
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
44 waliteketea hadi kufa Tianjin China