DC CHONJO AWAPONGEZA WAUGUZI KITUO CHA AFYA SABASABA KWA KUTOKUWA NA VIFO VYA MAMA NA MTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-b9J_GCp6YwE/XqcoWxpX7XI/AAAAAAALoZg/EWHPhFUJuys55ASLKPS_yPu67-1ZksfUACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-1.jpg)
**********************
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo , amezindua
rasmi Wodi ya Wazazi ijulikanyo kwa jina la “Wodi ya Wazazi Regina
Chonjo” katika Kituo cha Afya cha Sabasaba Manispaa ya Morogoro.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo,
Mhe Chonjo, amewataka Wauguzi kutumia taaluma zao kwa uwaledi ili
Wazazi wajifungue salama.
Aidha, amekipongeza kituo hicho cha afya kwani tangia ianze huduma
ya uzalishaji haijawai kutokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 May
JK aahidi kukabili vifo vya mama, mtoto
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Nzega yapunguza vifo vya mama, mtoto
WILAYA ya Nzega, mkoani Tabora imefanikiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto kutokana na wanaume kududhuria kliniki za wenzi wao pamoja na kufuata taratibu na masharti ya afya ya mama...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KITUO CHA AFYA CHA LINDI MJINI NA KUZURU MATAWI YA CCM
11 years ago
Habarileo30 May
Watoa huduma waaswa kutokuwa chanzo cha vifo
MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amesema pamoja na changamoto mbalimbali zinazokabili kampeni ya kupunguza vifo vya akinamama wajawazito na watoto, lakini baadhi ya vifo hivyo husababishwa na uzembe wa watoa huduma za afya.
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Alvaro Rodriguez afunga mkutano wa kujadili afya na vifo kwa mtoto Tanzania
![Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0270.jpg)
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.
![Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania, wakiwasilisha kazi baada ya mijadala ya makundi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0242.jpg)
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini...
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Alvaro Rodriguez afunga Mkutano kujadili Afya na Vifo kwa Mtoto Tanzania
![Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0270.jpg)
![Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania, wakiwasilisha kazi baada ya mijadala ya makundi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0242.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VT_xuSE_JP4/XqrJMxbF4-I/AAAAAAALoqY/Et_jwdifEhsh56vwLhvXi61TdsBwKtoPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BASHUNGWA AWAPONGEZA MUHIMBILI KWA KUTENGENEZA VAZI MAALUMU LA WAUGUZI.
“Nawapongeza hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) ya wauguzi Mungu awabariki na kuwalinda wauguzi wetu”.
Aidha, amevipongeza viwanda vyote nchini kwa kuendelea kuhakikisha vinatoa mchango mkubwa kwa kipindi hiki cha kupambana na ugojwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) CHATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQ24GFSBxD8/XnvEHfmycpI/AAAAAAAAnL0/3qphNIUpIpcjQgpa2SfgL6ijz6XZZIu4ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Fuoni Zanzibar Mhe Abaas Mwinyi Atimiza Ahadi Zake kwa Kituo cha Afya Fuoni kwa Kukabidhi Dawa na Masinki ya Vyoo kwa Kituo Hicho.