Alvaro Rodriguez afunga Mkutano kujadili Afya na Vifo kwa Mtoto Tanzania
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Alvaro Rodriguez afunga mkutano wa kujadili afya na vifo kwa mtoto Tanzania
![Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0270.jpg)
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza alipokuwa akifunga mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania.
![Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania, wakiwasilisha kazi baada ya mijadala ya makundi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0242.jpg)
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Boss wa UN, Alvaro Rodriguez atembelea Sabasaba, asema maonyesho ni fursa ya kujifunza
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacqueline Mneney Maleko (wa tatu kushoto) akiongozana na Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) mara baada ya kuwasili katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Mratibu wa UN nchini, Alvaro Rodriguez ziarani Mkoani Singida kukagua miradi ya shirika hilo
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone alipomtembelea na kufanya mazungumzo ofisini kwake jana mjini Singida.
Na Modewjiblog team, Singida
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone ofisini kwake kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b9J_GCp6YwE/XqcoWxpX7XI/AAAAAAALoZg/EWHPhFUJuys55ASLKPS_yPu67-1ZksfUACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-1.jpg)
DC CHONJO AWAPONGEZA WAUGUZI KITUO CHA AFYA SABASABA KWA KUTOKUWA NA VIFO VYA MAMA NA MTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-b9J_GCp6YwE/XqcoWxpX7XI/AAAAAAALoZg/EWHPhFUJuys55ASLKPS_yPu67-1ZksfUACLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-02-1.jpg)
**********************
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo , amezindua
rasmi Wodi ya Wazazi ijulikanyo kwa jina la “Wodi ya Wazazi Regina
Chonjo” katika Kituo cha Afya cha Sabasaba Manispaa ya Morogoro.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo,
Mhe Chonjo, amewataka Wauguzi kutumia taaluma zao kwa uwaledi ili
Wazazi wajifungue salama.
Aidha, amekipongeza kituo hicho cha afya kwani tangia ianze huduma
ya uzalishaji haijawai kutokea...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s72-c/DAS.jpg)
MKUTANO WA KUJADILI UPANGAJI WA MIPANGO WA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s640/DAS.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyGbe6M2xgA/Ve1rH3v4HdI/AAAAAAAAFg0/RcV4r04JwMw/s640/KIMULI.jpg)
Mkutano huo wenye madhumuni ya kushirikiana katika matokeo ya utekelezaji wa mradi wa CEGO (citizens engaging in government oversight in health service provision ) kwa kupitia...
11 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete awasili Toronto, Canada kuhudhuria mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Toronto Canada tarehe 27 Mei, 2014 usiku kuhudhuria mkutano unaohusu Afya ya Mama na Mtoto kufuatia mualiko kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mheshimiwa Stephen Harper.
Mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto , (Maternal, Newborn and Child Health -MNCH) unaanza Leo tarehe 28 – 30 Mei, 2014 ambapo Rais Kikwete pia anatarajiwa kuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu.
Lengo la mkutano huu ni kutoa nafasi kwa wataalamu na viongozi wa dunia kufikia makubaliano kwa...
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Waziri Simba azinduwa mkutano kujadili utokomezaji ukeketaji Tanzania
![Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_00571.jpg)
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.
![Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_00351.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo.
![Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_0052.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.
![Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA, Mariam Khan akiwasilisha mada katika mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_00241.jpg)
Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA, Mariam Khan...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais wa Zanzibar, Dk. Shein afunga mkutano wa mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dar
![087](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/087.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PSqouVrgRIw/VWWbljQdo_I/AAAAAAAA-R0/GwnD7V2FhbM/s640/088.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pivZv1Bnw7w/VWWbmuMFMbI/AAAAAAAA-R8/M8WVexVo8hs/s640/096.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aA5ihZ1G0ds/Uvz3PXQyzEI/AAAAAAAFM88/7XiiWUvx2Rk/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Dkt Shein afunga mkutano wa Tafakuri na maridhiano katika kuelekea Katiba mpya ya Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-aA5ihZ1G0ds/Uvz3PXQyzEI/AAAAAAAFM88/7XiiWUvx2Rk/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--AYNXH9pEDA/Uvz3Q36G6iI/AAAAAAAFM9E/MEvxUKQtKYg/s1600/unnamed+(22).jpg)