MKUTANO WA KUJADILI UPANGAJI WA MIPANGO WA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s72-c/DAS.jpg)
Katibu Tawala wa Wilaya ya Iringa, Martin Mlwafu akifungua mkutano wa kujadili upangaji wa mipango ili kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya katika halmashauri ya wilaya ya Iringa uliofanyika mjini Iringa leo.
Afisa Uchechemuzi (Advocacy Strategies) kutoka TACOSODE, Abraham Kimuli akifafanua jambo wakati mkutano.
Mkutano huo wenye madhumuni ya kushirikiana katika matokeo ya utekelezaji wa mradi wa CEGO (citizens engaging in government oversight in health service provision ) kwa kupitia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Magufuli aahidi kuboresha huduma za afya
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU: TUENDELEE KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
Magari hayo 10 ni kati ya magari 50 ya kubebea wagonjwa yenye thamani ya sh. bilioni sita yaliyonunuliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Global Fund. Kati ya magari hayo, 18...
9 years ago
Michuzi04 Dec
TANZANIA YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salam Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile amesema kuwa kupitia ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo mbili, Serikali ya Uswisi inaendelea kusaidia kuboresha Sekta ya Afya nchini hususani kuhakikisha wananchi wanapata huduma...
10 years ago
Michuzi03 Sep
NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6nqPhNgnEU/VAb_toZEIDI/AAAAAAAAXr4/8lCHWbx5ja8/s1600/Mwamoto.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJiNXi1xSAU/VAb_ttg8iWI/AAAAAAAAXrg/fPs_Bv3MWOg/s1600/Deusidedit%2BRutazaa.jpg)
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Plan kutumia mil. 161/- kuboresha huduma ya afya
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Plan Ifakara linakusudia kutumia sh milioni 161 katika mwaka wa fedha 2013/2014 ili kuboresha huduma za afya katika kata saba wilayani Kilombero. Akizungumza katika kikao...
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
Corona imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya nchini’: Waziri Ummy
![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s640/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/97372b66-2582-4a6c-a347-fda1fcc35431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a4725172-0ea6-4f18-800a-c1430784e92b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0fb9082c-f853-4e53-904c-4be5e34a3f74.jpg)
**********************************
Na.WAMJW, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwapo kwa ugonjwa wa Corona nchini, imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali vya afya hapa nchini.
Michango mbalimbali iliyotolewa zikiwamo vifaa na vifaa tiba zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya na kuokoa maisha kwa wagonjwa mahututi.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akizindua upanuzi wa...