Magufuli aahidi kuboresha huduma za afya
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha huduma za afya zinapatikana sambamba  na kuboresha mfuko wa bima ya afya ili kila mwananchi apate huduma bora na inayostaili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AAHIDI KUBORESHA MAISHA YA WANAJESHI
10 years ago
Michuzi03 Sep
NHIF kuendelea kuboresha huduma za afya nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6nqPhNgnEU/VAb_toZEIDI/AAAAAAAAXr4/8lCHWbx5ja8/s1600/Mwamoto.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Raphael Mwamoto akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko huo Bw. Deusdedit Rutazaa.
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJiNXi1xSAU/VAb_ttg8iWI/AAAAAAAAXrg/fPs_Bv3MWOg/s1600/Deusidedit%2BRutazaa.jpg)
Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
9 years ago
Michuzi04 Dec
TANZANIA YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salam Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile amesema kuwa kupitia ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo mbili, Serikali ya Uswisi inaendelea kusaidia kuboresha Sekta ya Afya nchini hususani kuhakikisha wananchi wanapata huduma...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU: TUENDELEE KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
Magari hayo 10 ni kati ya magari 50 ya kubebea wagonjwa yenye thamani ya sh. bilioni sita yaliyonunuliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Global Fund. Kati ya magari hayo, 18...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s72-c/DAS.jpg)
MKUTANO WA KUJADILI UPANGAJI WA MIPANGO WA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJ0IlpEwnlE/Ve1rG3y9hFI/AAAAAAAAFgc/fkT4HlToiq8/s640/DAS.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vyGbe6M2xgA/Ve1rH3v4HdI/AAAAAAAAFg0/RcV4r04JwMw/s640/KIMULI.jpg)
Mkutano huo wenye madhumuni ya kushirikiana katika matokeo ya utekelezaji wa mradi wa CEGO (citizens engaging in government oversight in health service provision ) kwa kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Plan kutumia mil. 161/- kuboresha huduma ya afya
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Plan Ifakara linakusudia kutumia sh milioni 161 katika mwaka wa fedha 2013/2014 ili kuboresha huduma za afya katika kata saba wilayani Kilombero. Akizungumza katika kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s72-c/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
Corona imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya nchini’: Waziri Ummy
![](https://1.bp.blogspot.com/-fDIbqjReJ9Y/Xu5tMovGpOI/AAAAAAALuyU/-fgnXbxzMGgjbLI9G1uR_myd8iGPV7fHQCLcBGAsYHQ/s640/5c0eecc1-a0c4-40e7-a71e-3cd4614daffc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/97372b66-2582-4a6c-a347-fda1fcc35431.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a4725172-0ea6-4f18-800a-c1430784e92b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0fb9082c-f853-4e53-904c-4be5e34a3f74.jpg)
**********************************
Na.WAMJW, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwapo kwa ugonjwa wa Corona nchini, imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali vya afya hapa nchini.
Michango mbalimbali iliyotolewa zikiwamo vifaa na vifaa tiba zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya na kuokoa maisha kwa wagonjwa mahututi.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akizindua upanuzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gu-i5AZYvlQ/VWXKOXtf2lI/AAAAAAAHaGY/rhBLgXG6l7U/s72-c/20150526_103105.jpg)
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA ZA UFUNDI WA VIFAA TIBA
Pia kuwapa vitendea kazi(tools kits, measuring and calibration equipment) vyenye kuwezesha mafundi kuhakiki ubora wa ufanyaji kazi kwa baadhi ya vifaa tiba...