Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nzega yapunguza vifo vya mama, mtoto

WILAYA ya Nzega, mkoani Tabora imefanikiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto  kutokana na  wanaume kududhuria kliniki za wenzi wao pamoja na kufuata taratibu na masharti  ya afya  ya mama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

JK aahidi kukabili vifo vya mama, mtoto

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuendelea kuimarisha huduma za afya hasa ya mama na mtoto ili kupunguza vifo hapa nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yapunguza vifo vya watoto

Wakati tarehe ya mwisho ya tathmini ya malengo ya maendeleo ya milenia ikikaribia , nchi ya Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo zimefanikiwa kutimiza lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano

 

9 years ago

Habarileo

Hospitali Mbeya yapunguza vifo vya wajawazito

HOSPITALI ya Rufaa Kanda ya Mbeya imefanikiwa kupunguza vifo vya wajawazito kutoka sita hadi saba kwa mwezi, katika kipindi cha mwaka 2008 na 2012 na kufikia vifo viwili hadi vinne kati ya mwaka 2012 hadi mwaka jana.

 

5 years ago

Michuzi

DC CHONJO AWAPONGEZA WAUGUZI KITUO CHA AFYA SABASABA KWA KUTOKUWA NA VIFO VYA MAMA NA MTOTO



**********************

NA FARIDA SAIDY,MOROGORO

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo , amezindua
rasmi Wodi ya Wazazi ijulikanyo kwa jina la “Wodi ya Wazazi Regina
Chonjo” katika Kituo cha Afya cha Sabasaba Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo,
Mhe Chonjo, amewataka Wauguzi kutumia taaluma zao kwa uwaledi ili
Wazazi wajifungue salama.

Aidha, amekipongeza kituo hicho cha afya kwani tangia ianze huduma
ya uzalishaji haijawai kutokea...

 

10 years ago

Habarileo

Udhibiti vifo vya mama wapamba moto Rukwa

MKAKATI wa kudhibiti vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua umepamba moto mkoani Rukwa, kutokana na jamii, watendaji, viongozi wa kisiasa kubanwa wakitakiwa kuhakikisha katika maeneo hakitokei kifo.

 

5 years ago

Michuzi

TUNDURU YAWEKA MKAKATI WA KUMALIZA VIFO VYA MAMA NA WATOTO WACHANGA

 Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Renatus Mathias akiongea jana  wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wauguzi na matatibu kutoka zahanati na vituo vya Afya  mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo  ikiwa ni mkakati wa Hospitali hiyo kupunguza vifo vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua,watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano,katikati Mganga Mkuu wa wilaya hiyo Dkt Wendy Robert na kulia afisa lishe wa wilaya Martha Kibona.

 

9 years ago

MillardAyo

Vifo vya wajawazito vimemgusa Mama Samia, ana haya mawili kwa wataalamu…

Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, headlines zake zinaendelea kunifikia mtu wangu, naomba ukutane na maneno yake najua utatoka na kitu…leo ni kuhusu wakina mama wajawazito kupoteza maisha wakati wa kujifungua. ‘Tanzania tumepiga hatua kubwa kwenye malengo ya Millenia lakini tumeshindwa kwenye vifo vya wakina mama wajawazito, tumepiga hatua kubwa kwa watoto […]

The post Vifo vya wajawazito vimemgusa Mama Samia, ana haya mawili kwa wataalamu… appeared first on...

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Salum Manyata  amewahasa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi nchini kuwa wana jukumu kubwa la kuboresha utoaji wa huduma wa dawa za usingizi kwa kina mama wajawazito wakati wa upasuaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza wakati wa utoaji huduma hiyo.

Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani