Hospitali Mbeya yapunguza vifo vya wajawazito
HOSPITALI ya Rufaa Kanda ya Mbeya imefanikiwa kupunguza vifo vya wajawazito kutoka sita hadi saba kwa mwezi, katika kipindi cha mwaka 2008 na 2012 na kufikia vifo viwili hadi vinne kati ya mwaka 2012 hadi mwaka jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s640/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4d33d7b4-f238-47c6-9594-ee54581f5a66.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Tanzania yapunguza vifo vya watoto
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Nzega yapunguza vifo vya mama, mtoto
WILAYA ya Nzega, mkoani Tabora imefanikiwa kupunguza vifo vya mama na mtoto kutokana na wanaume kududhuria kliniki za wenzi wao pamoja na kufuata taratibu na masharti ya afya ya mama...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Sababu vifo vya wajawazito zatajwa
UKOSEFU wa nyumba za watumishi katika Sekta ya Afya hasa maeneo yenye miundombinu duni ya usafiri kunakofanya watumishi kushindwa kukaa katika maeneo hayo, kumetajwa kuwa ni moja ya mambo yanayochangia kuongeza vifo vya wajawazito na watoto.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Vifo vya wajawazito vyaweza kuzuilika
10 years ago
Habarileo17 Mar
‘Vifo vya wajawazito ni msiba usiokubalika’
MWENYEKITI wa Bodi wa Muungano wa Utepe Mweupe na Uzazi Salama Tanzania (WRATZ), Craig Ferla amesema vifo 95,000 vya wajawazito na watoto wachanga, vinavyotokea kila mwaka nchini ni msiba mkubwa usiokubalika, ambao taifa linahitaji kutafakari kwa kina kuvitokomeza.
10 years ago
Habarileo14 Feb
Zanzibar kupunguza vifo vya wajawazito
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema suala la kuimarisha maisha ya jamii na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga ni miongoni mwa masuala muhimu.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Amref kusaidia kupunguza vifo vya wajawazito
SHIRIKA la Amref Health Africa Tanzania limepanga kuwapatia mafunzo wakunga 3,800 nchini ifikapo mwaka 2015/2016.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Wizara yapongezwa kupunguza vifo vya wajawazito
SERIKALI imeipongeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kutimiza malengo ya kupunguza idadi ya vifo vya mama na mtoto kabla ya muda uliowekwa wa Malengo ya Maendeleo ya...