Wizara yapongezwa kupunguza vifo vya wajawazito
SERIKALI imeipongeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kutimiza malengo ya kupunguza idadi ya vifo vya mama na mtoto kabla ya muda uliowekwa wa Malengo ya Maendeleo ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Tanzania yapongezwa kwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.
Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano...
10 years ago
Habarileo14 Feb
Zanzibar kupunguza vifo vya wajawazito
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema suala la kuimarisha maisha ya jamii na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga ni miongoni mwa masuala muhimu.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Amref kusaidia kupunguza vifo vya wajawazito
SHIRIKA la Amref Health Africa Tanzania limepanga kuwapatia mafunzo wakunga 3,800 nchini ifikapo mwaka 2015/2016.
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
‘Kupunguza vifo vya wajawazito hakuhitaji serikail tatu’
MKURUGENZI wa Taasisi ya Evidence for Action (E4A), Graig Ferla, amesema suala la vifo vya wajawazito na watoto wachanga nchini halihitaji serikali tatu. Akizungumza na wahariri na waandishi wa habari...
10 years ago
GPLCCBRT YATOA ELIMU KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA, DAR
5 years ago
MichuziWATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI
Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...
11 years ago
GPLMUUNGANO WA UTEPE MWEUPE WAKUTANA WAZIRI MKUU PINDA, KUJADILI NAMNA YA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO
10 years ago
Habarileo20 Jun
Sababu vifo vya wajawazito zatajwa
UKOSEFU wa nyumba za watumishi katika Sekta ya Afya hasa maeneo yenye miundombinu duni ya usafiri kunakofanya watumishi kushindwa kukaa katika maeneo hayo, kumetajwa kuwa ni moja ya mambo yanayochangia kuongeza vifo vya wajawazito na watoto.
10 years ago
Habarileo17 Mar
‘Vifo vya wajawazito ni msiba usiokubalika’
MWENYEKITI wa Bodi wa Muungano wa Utepe Mweupe na Uzazi Salama Tanzania (WRATZ), Craig Ferla amesema vifo 95,000 vya wajawazito na watoto wachanga, vinavyotokea kila mwaka nchini ni msiba mkubwa usiokubalika, ambao taifa linahitaji kutafakari kwa kina kuvitokomeza.