Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kupunguza vifo vya wajawazito hakuhitaji serikail tatu’

MKURUGENZI wa Taasisi ya Evidence for Action (E4A), Graig Ferla, amesema suala la vifo vya wajawazito na watoto wachanga nchini halihitaji serikali tatu. Akizungumza na wahariri na waandishi wa habari...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Zanzibar kupunguza vifo vya wajawazito

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed SheinRAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema suala la kuimarisha maisha ya jamii na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga ni miongoni mwa masuala muhimu.

 

10 years ago

Habarileo

Amref kusaidia kupunguza vifo vya wajawazito

SHIRIKA la Amref Health Africa Tanzania limepanga kuwapatia mafunzo wakunga 3,800 nchini ifikapo mwaka 2015/2016.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara yapongezwa kupunguza vifo vya wajawazito

SERIKALI imeipongeza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kutimiza malengo ya kupunguza idadi ya vifo vya mama na mtoto kabla ya muda uliowekwa wa Malengo ya Maendeleo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yapongezwa kwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto

IMG_00511

Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk. Jama Gulaid, akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano unaojadili mchango wa haki za binadamu unavyoweza kuboresha huduma za afya kwa watoto na kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano (5) nchini Tanzania. Mkutano huo unafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku mbili mfululizo.

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa Vizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Mushi (wa kwanza kulia) aliyemwakilishi Dk Donan Mmbando akizungumza na washiriki wa Mkutano...

 

10 years ago

GPL

CCBRT YATOA ELIMU KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA, DAR

Kikundi cha sanaa kikitoa burudani. Burudani ikiendelea. Umati wa watu wakishuhudia. KITUO cha Tiba (CCBRT) kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) wametoa elimu ya kupunguza vifo vya mama mjamzito na mtoto kupitia uboreshaji wa huduma za wakina mama wajawazito pamoja na watoto wachanga. CCBRT wamefanya hayo leo hii…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vifo vya watoto, wajawazito vitazamwe kwa jicho la tatu

KUTOKANA na matatizo yanayoikabili sekta ya afya ikiwemo huduma zote stahiki kwa mjamzito, watoto walio chini ya miaka mitano na wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ni wakati muafaka...

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Salum Manyata  amewahasa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi nchini kuwa wana jukumu kubwa la kuboresha utoaji wa huduma wa dawa za usingizi kwa kina mama wajawazito wakati wa upasuaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza wakati wa utoaji huduma hiyo.

Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...

 

11 years ago

GPL

MUUNGANO WA UTEPE MWEUPE WAKUTANA WAZIRI MKUU PINDA, KUJADILI NAMNA YA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO

Wajumbe wa Mkutano kati ya Utepe Mweupe na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo Ikulu. Mkutano wa Waziri Mkuu na wajumbe kutoka Muungano wa Utepe Mweupe ukiendelea.…

 

10 years ago

Mwananchi

Vifo vya wajawazito vyaweza kuzuilika

Takwimu za hivi karibuni hapa nchini zinaonyesha kwamba kwa mwaka, Tanzania inapoteza kina mama 7,900 kutokana na sababu zitokanazo na ujauzito. Idadi hiyo ni sawa na vifo 22 kwa siku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani