VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akiwajulia hali akina mama wajawazito waliolazwa kwenye wodi ya wazazi ambapo vifo vitokanavyo na uzazi hosputalini hapo vimepungua.
Waziri wa Afya, Maendeleo, Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikagua miundombinu ya hospitali ya rufaa ya mkoa Temeke ,Waziri Ummy amempongeza Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo.Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Dec
Vifo kwa wajawazito, watoto vyapungua Kigoma
Kasi ya vifo vinavyotokana na uzazi kwa wajawazito na watoto vimepungua mkoani Kigoma kutokana na kuanzishwa na kutekelezwa kwa mpango mkakati wa huduma ya upasuaji katika vituo vya afya vijijini.
Mpango huo umewezesha wanawake wengi wajawazitio kuondokana na adha ya kusafirishwa umbali mrefu kufuata huduma hiyo pindi inapohitajika katika hospatali za wilaya ama mkoa.
Kwa mujibu wa taarifa za Afya mkoani Kigoma, wanawake 62 walipoteza maisha mwaka 2014 kutokana na matatizo ya uzazi na...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Hospitali Mbeya yapunguza vifo vya wajawazito
HOSPITALI ya Rufaa Kanda ya Mbeya imefanikiwa kupunguza vifo vya wajawazito kutoka sita hadi saba kwa mwezi, katika kipindi cha mwaka 2008 na 2012 na kufikia vifo viwili hadi vinne kati ya mwaka 2012 hadi mwaka jana.
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Aug
Vifo vya uzazi Mbinga vyapungua
SERIKALI wilayani Mbinga imepunguza vifo vya wajawazito kutoka 79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi kufikia idadi ya vifo 65 mwaka 2013, ikiwa ni mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo vinavyotokana na uzazi.
5 years ago
MichuziVIFO VYA BARABARANI VYAPUNGUA TANGA
Takwimu hizo zimetokewa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga Solomon Mwangamilo wakati wa uzinduzi wa mradi wa usalama barabara kwa shule za msingi na sekondari Jijini Tanga.
Alisema kuwa ukaguzi wa Mara kwamara ya vyombo vya moto pamoja na elimu ya usalama barabara ndio imeweza kusaidia kupunguza ajali...
11 years ago
Habarileo07 Jun
Vifo vya watoto sasa vyapungua kwa 7.2%
WIZARA ya Afya imesema akinamama wengi wamehamasika na kujifungua katika hospitali za Serikali na kufanikiwa kupunguza vifo vya watoto kwa asilimia 7.2.
9 years ago
MichuziAJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ygMvEk2zDLM/XlPXG3Q6AXI/AAAAAAALfGU/8sQLBSJiH2Q0keTSW_sDn0V6gwN9ad62gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B3.34.11%2BPM.jpeg)
MASHINE NNE ZA UTRA SOUND KUFUNGWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ygMvEk2zDLM/XlPXG3Q6AXI/AAAAAAALfGU/8sQLBSJiH2Q0keTSW_sDn0V6gwN9ad62gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B3.34.11%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WlpmoAf0HOU/XlPXHBDXzyI/AAAAAAALfGc/CkFvswi3FC4Fr9c5yFOlItZpRNPc1sBUQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B3.34.13%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Bt7v_lqOis/XlPXH1d6_0I/AAAAAAALfGg/XxDfz9MMQhwjEdXmCfpodnC_bOmAAYW7QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B3.34.21%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fT_esPZKtv0/XlPXG1xG5jI/AAAAAAALfGY/D9xo--EpdnQsMhxK1ie-GUBni9koA4b_ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B3.34.18%2BPM.jpeg)
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiHOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Temeke mbioni kufungwa mashine nne za Utra Sound kwaajili kuongeza ubora wa huduma...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Vifo vya wajawazito vyaweza kuzuilika