AJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA
Mkuu wa usalama Barabarani Kanda Maalum Dar es Salaam, Peter Sima katikati akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya Maonesho ya usalama barabarani ya yatakayofanyika tarehe Agosti 24 na 25 mwaka huu katika viwanja vya mashujaa Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, kulia ni Mrakibu Mwandamizi wa Polisi na Mkuu wa Trafiki Mkoa wa Kinondoni, Awadhi Haji na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama barabarani, Elifadhili Mgonja.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Jul
WARSHA YA KUPUNGUZA VIFO NA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/169.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/355.jpg)
10 years ago
VijimamboSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/169.jpg)
WARSHA YA KUPUNGUZA VIFO NA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s640/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4d33d7b4-f238-47c6-9594-ee54581f5a66.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s72-c/New%2BPicture%2B(4).bmp)
Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo
![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s1600/New%2BPicture%2B(4).bmp)
“Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Warsha ya kupunguza vifo na majeruhi wa ajali za Barabarani yafanyika jijini Dar
Kamishina Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Johansen Kahatano akifungua rasmi warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo vinavyotokana na ajali za barabarani iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la AMEND na kufadhiliwa na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya EU warsha hiyo imefanyika kwenye jengo la Umoja House jijini Dar es salaam.
Gianluca Azzon Mwakilishi wa EU Nchini Tanzania, akiwasilisha mada katika warsha ya waandishi wa habari ya kupunguza ajali na vifo...
10 years ago
GPLSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU
TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10