India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni
India wanafunzi wa chuo wamelazimishwa kuvua nguo zote kukaguliwa kama wako kwenye hedhi au la
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 May
Moline Odwar: Anapokuwa kwenye hedhi wakati mwengine hata huzirai
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya
Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;
"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Magufuli gumzo mitandaoni Kenya.
NAIROBI, KENYA
KATIKA siku chache zilizopita, Rais Dk. John Magufuli amekuwa akitamba kwenye mitandao ya jamii nchini Kenya.
Habari zinasema wananchi wengi wazalendo wameonekana kuvutiwa na uchapakazi wake ndani ya wiki kadhaa tangu aliposhika madaraka.
Dk. Magufuli ameonyesha kutekeleza kaulimbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’ ambayo sasa inafananishwa na ile ya ‘Kusema na Kutenda’ ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
Kauli hiyo ya Kenyatta, Wakenya wameibadilisha kuwa ‘Kusema na Kutema’...
10 years ago
Michuzi
Tamasha la Karibu Music Bagamoyo Limerudi Tena Sasa ni tarehe 6,7 na 8 Novemba, 2015

10 years ago
GPL
SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI
10 years ago
GPL
SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI-2
10 years ago
Bongo Movies04 May
Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni
Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.
Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.
Lakini yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...
11 years ago
Mwananchi24 Aug
Tatizo la mwanamke kukosa siku zake (hedhi)
11 years ago
GPL13 Mar