Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni

India wanafunzi wa chuo wamelazimishwa kuvua nguo zote kukaguliwa kama wako kwenye hedhi au la

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Moline Odwar: Anapokuwa kwenye hedhi wakati mwengine hata huzirai

Leo ni siku ya hedhi duniani. Fuatilia simulizi ya Moline Odwar ambaye hedhi kwake imegeuka na kuwaugonjwa usiokuwa na tiba.

 

10 years ago

Bongo Movies

Kundi La Sanaa La Kaole Limerudi Tena Na Jina Jipya

Kundi kongwe la sanaa ya uigizaji na ngoma lililotoa vipaji vingi vya uigizaji hapa nchini, Kundi la Sanaa la Kaole “Kaole Sanaa Group” limerudi ila sasa kwa jina lingine..habari kamili ametueleza hapa, Halima Yahya “DAVINA”moja kati ya waliokuwa kaole na sasa wameasisi hii kaone, anasema;

"Wapenzi wetu wa tamthilia na filamu za kibongo...mimi km mimi nimekua nikipokea maoni ya watu wengi hapa na hata mikoani kwamba wamemiss tamthilia zetu za zamani zilizokua zimejaa maadili na mafundisho...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli gumzo mitandaoni Kenya.

MAGUFULI+PHOTO+KochiNAIROBI, KENYA

KATIKA siku chache zilizopita, Rais   Dk. John  Magufuli amekuwa akitamba kwenye mitandao ya jamii nchini Kenya.

Habari zinasema  wananchi wengi wazalendo wameonekana kuvutiwa na uchapakazi wake ndani ya wiki kadhaa tangu aliposhika madaraka.

Dk. Magufuli ameonyesha kutekeleza  kaulimbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’ ambayo sasa  inafananishwa na ile ya ‘Kusema na Kutenda’ ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

Kauli hiyo ya Kenyatta,  Wakenya wameibadilisha kuwa ‘Kusema na Kutema’...

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la Karibu Music Bagamoyo Limerudi Tena Sasa ni tarehe 6,7 na 8 Novemba, 2015

 Baada ya mafanikio makubwa 2014, tamasha kubwa la muziki Karibu Music Festival lifanyikalo kila mwaka limerudi tena mwaka huu kwa kishindo kikubwa Novemba hii tarehe 6, 7 na 8.Tamasha la Karibu Music Festival hufanyika kwa mfululizo wa siku 3 na litafanyika kwenye viwanja vya Mwakalinga Bagamoyo karibu kabisa na ufukwe wa bahari ya Hindi.

Mambo mazuri kwenye tamasha hili ni mchanganyiko wa mziki, utamaduni , michezo mbali mbali kutoka kwa wasanii mbali mbali watokao barani Asia, Ulaya ,...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI

Nikukaribishe msomaji katika ukurasa wetu huu ambao tumekuwa tukijuzana mambo mengi ya msingi katika ustawi wa afya zetu. Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la wanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tuliangalia sababu na dalili za tatizo hilo la mwanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa tukashauriana mambo ya msingi ya kuzingatia ili kuondokana na tatizo hilo. Leo ningependa tuangalie suala la mwanamke kukosa...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI-2

KARIBU msomaji wangu katika ukurasa huu ambao tumekuwa tukifundishana mengi yahusuyo afya zetu na tukipeana elimu ya kuboresha afya zetu. Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la mwanamke kukosa hedhi na tukazipitia baadhi ya sababu au vyanzo vya mwanamke kukosa hedhi. Napenda kukukumbusha kuwa mwanamke  kukosa siku zake au hedhi kumegawanyika katika makundi mawili. Kundi la kwanza ni wale wanaokosa siku zao kwa kawaida bila...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni

Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.

Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.

Lakini  yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la mwanamke kukosa siku zake (hedhi)

 Inafahamika kwamba mwanamke au msichana yeyote aliyepevuka kikamilifu, hupata siku zake za kutokwa na damu isiyoganda katika njia ya uzazi mara moja kwa mwezi. Dalili hiyo inaashiria ukomavu katika viungo vya uzazi.

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani