Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS ANAPOKUWA FREE KWENYE INTERVIEW

)

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Moline Odwar: Anapokuwa kwenye hedhi wakati mwengine hata huzirai

Leo ni siku ya hedhi duniani. Fuatilia simulizi ya Moline Odwar ambaye hedhi kwake imegeuka na kuwaugonjwa usiokuwa na tiba.

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni

India wanafunzi wa chuo wamelazimishwa kuvua nguo zote kukaguliwa kama wako kwenye hedhi au la

 

10 years ago

CloudsFM

Wasanii wakiwa kwenye interview Ras Fm Dodoma

RechoVanessa MdeeLinnahNay Wa MitegoStaminaYoung KillerMo MusicK-StyleJuxG-LuckyFid QEddu BoyDully SykesAlly KibaMr.BlueBaraka Da Prince

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm

Tazama mahojiano ya Ambwene Yessaya a.k.a AY na mtangazaji Lil Ommy katika kipindi cha The Playlist cha Times Fm. AY alizungumzia mambo mengi kuhusu maisha yake, muziki wake na ndoto zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama interview ya Izzo B kwenye The Playlist ya Times FM

12070822_896813407061700_1815623839_n

Mtangazaji wa Times FM, Lil Ommy ameendelea ku-upload interviews anavyofanya na mastaa kwenye kipindi chake cha The Playlist ambacho kinawashusha mastaa ndani ya studio za 100.5 Times FM kila Jumapili Saa 10 – 12 jioni, wakichagua nyimbo tano wanazopenda na kuwahoji mambo muhimu kuhusu mtindo wa maisha, fashion na burudani.

Izzo B alizungumza mambo mengi muhimu kuhusu muziki wake, Ngwair, Suma Lee, Sugu, Master Jay, Marco Chali, Nah Reel, Wema Sepetu, Jokate, Kajala, Vaneesa Mdee, Quick...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Madonna aonesha chuchu zake kwenye jarida la ‘Interview’

Ana miaka 56, lakini bado haoni haya kufanya ile wasichana kama Kim Kardashian au Rihanna wanafanya. Madonna ameonesha chuchu zake kwenye jarida la Interview. Hizi ni picha zaidi.

 

10 years ago

Bongo5

Sentesi 3 za maajabu ambazo mwajiri anataka kusikia kwenye interview

Sote tunaweza kukubaliana kuwa usaili ni njia isiyo kamilifu ya kumbaini mtu anayeomba kazi. Kwa anayefanyiwa usaili, ni nguvu kujua iwapo anachokisema kinaendana na kile meneja mwajiri anakitafuta. Lakini kuna sentesi chache zinazoweza kukupa alama nzuri. Ukipata nafasi hiyo wakati wa usaili, ni jambo zuri kujaribu kuzichomeka sentesi hizi sehemu. 1. “Nilifanikiwa sana kwenye hili […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani