Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sentesi 3 za maajabu ambazo mwajiri anataka kusikia kwenye interview

Sote tunaweza kukubaliana kuwa usaili ni njia isiyo kamilifu ya kumbaini mtu anayeomba kazi. Kwa anayefanyiwa usaili, ni nguvu kujua iwapo anachokisema kinaendana na kile meneja mwajiri anakitafuta. Lakini kuna sentesi chache zinazoweza kukupa alama nzuri. Ukipata nafasi hiyo wakati wa usaili, ni jambo zuri kujaribu kuzichomeka sentesi hizi sehemu. 1. “Nilifanikiwa sana kwenye hili […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Sikushangaa kusikia Ngeleja anataka Urais’

U ongozi ni kipaji alichozaliwa nacho mtu ambacho mwingine hawezi kulazimisha kuwa nacho. Hayo ni maneno ya baadhi ya marafiki wa Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (pichani), aliyeamua kujitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM.

 

9 years ago

MillardAyo

Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…

Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]

The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

UTT YATOA SEMINA YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MASOKO YA FEDHA KWA WATU WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA

Ofisa Masoko Mwandamizi kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT, Martha Mashiku akitoa semina kuhusu uwekezaji wa pamoja kwenye Masoko ya fedha. Akizungumza na washiriki wa semina hiyo Mashiku alisema kuwa kazi kubwa inayofanya na UTT ni kuwawezesha watanzania wote wenye vipato tofauti kushiriki kwenye masoko ya fedha, kwa kujiwekea akiba taratibu huku pesa inawekezwa kwenye masoko ya fedha na mitaji. Ofisa huyo alisema UTT imekusudia kutoa elimu kwa makundi mbali mbali ya jamii ili watambue...

 

10 years ago

Bongo5

Tazama picha ambazo hujaziona kutoka kwenye show ya Diamond, Rwanda

Diamond Platnumz amefanikiwa kupiga show ya kufa mtu jijini Kigali katika siku ya mwaka mpya, January 1. Diamond alitumbuiza na live band na alipewa support na muimbaji wa Yamoto Band, Aslay. Kwenye show hiyo, Diamond alisindikizwa na wasanii wakubwa wa huko wakiwemo King James, Urban Boyz, Jay Polly na Knowles. Hizi ni picha za show […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zaiandikia FA juu ya kuahirishwa kwa msimu

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zatuma barua kwa FA, na kutoa wito wa kutaka ifikirie tena umauzi wake wa kuahirisha msimu

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest ajiondoa kuwania nafasi ya kuingia kwenye tuzo za MTV EMA ambazo Diamond ni Nominee!

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amesusia tuzo za 2015 MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kutokana na kuhisi kuwa hajatendewa haki. Jumanne Sept 8, MTV walitangaza majina ya nominees 4 wa kipengele cha ‘Best African Act’ akiwemo Diamond Platnumz, na ikabaki nafasi ya msanii mmoja ambayo waliweka majina ya wasanii watano wapigiwe kura kupata […]

 

9 years ago

Bongo5

Kevin Bosco aahidi maajabu kwenye video ya Galaxy

Muongozajo wa video wa nchini Kenya, Kevin Bosco amesema anatarajia kutengeneza video ya aina yake ya wimbo ‘Mzuri Tu wa msanii wa Tanzania aitwaye Galaxy. Akiongea na Bongo5, Galaxy amesema anaamini wimbo huo utapokelewa vizuri na mashabiki wa muziki. “Ni wimbo ambao nimekuwa nikiusikiliza mara kwa mara tangu nimeupata na hivi niko kwenye maandalizi ya […]

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Interview ya AY kwenye The Playlist ya Times Fm

Tazama mahojiano ya Ambwene Yessaya a.k.a AY na mtangazaji Lil Ommy katika kipindi cha The Playlist cha Times Fm. AY alizungumzia mambo mengi kuhusu maisha yake, muziki wake na ndoto zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani