‘Sikushangaa kusikia Ngeleja anataka Urais’
U ongozi ni kipaji alichozaliwa nacho mtu ambacho mwingine hawezi kulazimisha kuwa nacho. Hayo ni maneno ya baadhi ya marafiki wa Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (pichani), aliyeamua kujitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Nov
Sentesi 3 za maajabu ambazo mwajiri anataka kusikia kwenye interview
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Sitta: Kingwangalla anataka urais
10 years ago
Vijimambo05 Jun
Ngeleja atangaza nia ya kuwania Urais asema" Nitapambana na maadui sita"
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2740800/highRes/1027308/-/maxw/600/-/8uuviez/-/pic+ngeleja.jpg)
Mwanza. Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.Akitangaza nia hiyo kwenye Ukumbi wa Benki...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnGRr9YI2e8/VXBqcB6QRXI/AAAAAAABOnc/YggpuAxJHuE/s72-c/0.1ngeleja%2Batangaza%2Bnia.jpg)
HOTUBA YA NGELEJA KATIKA KUTANGAZA NIA YA URAIS WA TANZANIA YAJIBU MASWALI MENGI YA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnGRr9YI2e8/VXBqcB6QRXI/AAAAAAABOnc/YggpuAxJHuE/s640/0.1ngeleja%2Batangaza%2Bnia.jpg)
Ameongeza utaratibu uliofanyika kumuondoa ni utaratibu wa kawaida na kuwa unaweza kutumika hata bila ya kuwa na udhaifu katika...
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Van Gaal:Sikushangaa kulazwa4-0 na MK Dons
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Kinana aanza ziara mkoa wa Mwanza, akutana uso kwa uso na mgombea Urais Ngeleja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwafuraha na Mbunge wa Jimbo la Sengerema, ambaye pia ni mmoja wa wana CCM waliochukua fomu ya kuomba kuwania urais ndani ya chama hicho, William Ngeleja alipowasili katika Kata ya Nyamadoke, Jimbo la Buchosa,, wilayani Sengerema, kuanza ziara rasmi katika majimbo yote ya Mkoa wa Mwanza leo.
Komredi Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ameanza ziara mkoani Mwanza, baada ya kumaliza ziara...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
CCM hawaoni wala kusikia waambiwayo
“KWA kadiri ya hali ya nchi yetu, ziko sababu za kutosha kutaka katiba mpya. Sababu hizo ni pamoja na ufisadi, wananchi kujisikia kukosa usalama, na nchi kutokuwa na dira, tunu...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Mwanamke afaaye wasioweza kuona na kusikia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TtwBo078M6hxhZgRqqyWHIKMH22Ifsy0IRMe535nXDhO4XQv0sZCeOCJqrCHy7Wc0soXJ6ioUUJVsx4n09DK0i9hcernIs0N/chuchu.jpg)
JOHARI: SITAKI KUSIKIA HABARI ZA CHUCHU