Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke afaaye wasioweza kuona na kusikia

Haben Girma ni mwanafunzi wa kwanza asiyeweza kuona au kusikia, kuhitimu kutoka chuo kikuu cha Harvard ambaye amejitahidi kuimarisha upatikanaji wa teknolojia kusaidia wasioweza kuona au kusikia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MWANAMKE KUSIKIA MAUMIVU WAKATI NA BAADA YA TENDO LA NDOA

WAPO ambao wakati wanapofanya mapenzi badala ya kupata furaha, wao wanasikia maumivu, wanaume ni mara chache sana kulinganisha na wanawake. Mwanamke ndiye husumbuliwa zaidi na tatizo hili. Mwanamke anaweza kukosa kuhisi furaha na matokeo yake kuumia wakati tendo linapoanza pale mwanzoni, ukeni au kwa ndani zaidi. Maumivu haya pia yanaweza kugawanyika katika makundi mawili. Kwanza ni maumivu wakati wa tendo la ndoa ambapo ndiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Furaha yangu, kuona mwanamke anafanikiwa

Wapo wanawake wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Wengi wa wanawake hawa, wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kuhakikisha wanabadilisha maisha ya mwanamke wa Kitanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Furaha ya mwanamke kuona kwa jicho bandia

Mwanamke mmoja nchini Uingereza, ambaye amekuwa akipoteza uwezo wake wa kuona, ameelezea furaha yake baada ya kuweza kuona tena kwa kutumia ‘jicho bandia’.

 

5 years ago

BBCSwahili

Matajiri wasioweza kueleza chanzo cha utajiri wao mali zao kuchukuliwa

Zimbambwe imesema watu ambao hawawezi kuelezea utajiri wao ulitoka wapi mali zao ziko katika hatari ya kuchukuliwa hata ikiwa mahakama itawaondolea madai ya kuhusika na ufisadi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Sikushangaa kusikia Ngeleja anataka Urais’

U ongozi ni kipaji alichozaliwa nacho mtu ambacho mwingine hawezi kulazimisha kuwa nacho. Hayo ni maneno ya baadhi ya marafiki wa Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (pichani), aliyeamua kujitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM.

 

10 years ago

GPL

JOHARI: SITAKI KUSIKIA HABARI ZA CHUCHU

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kwa sasa hataki kabisa kusikia habari za mwigizaji, Chuchu Hans ambaye wamekuwa wakitifuana mara kwa mara wakidaiwa kugombea penzi la Vincent Kigosi ‘Ray’. Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akikitemea cheche kinasa sauti cha paparazi wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na hatma ya malumbano yao ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati wa kusikia nguvu ya rushwa CCM

KATIKA kitabu chake cha Nyufa chenye hotuba aliyoitoa Machi 13, 1995, Mwalimu Nyerere ametaja nyufa tano zilizoikumba nchi ambapo alisema kuwa ufa wa nne ni rushwa ndani ya CCM na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM hawaoni wala kusikia waambiwayo

“KWA kadiri ya hali ya nchi yetu, ziko sababu za kutosha kutaka katiba mpya. Sababu hizo ni pamoja na ufisadi, wananchi kujisikia kukosa usalama, na nchi kutokuwa na dira, tunu...

 

10 years ago

Vijimambo

KUTONGOZA KWA KUJISIFU, WANAWAKE HAWAPENDI KUSIKIA

NI Jumanne tena jamani! Wapenzi wasomaji wa safu yangu hii ya maisha na mapenzi tunakutana tena huku nikisema nawapenda sana.

Mada yetu ya leo ni kujisifu, wanawake hawapendi kusikia. Hii ni mada pana kidogo ambayo wanaume ni walengwa wakubwa lakini wenyewe hawajui.

KABLA YA MADA
Kabla ya mada nachukua nafasi hii kusema kuwa, mara zote ninapoandika jambo f’lani huwa nafanya uchunguzi wa kina kwanza kwa wahusika wachache ambapo hesabu za haraka huniambia ukweli unakuwa wapi!

TURUDIE MADA
Wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani