Furaha yangu, kuona mwanamke anafanikiwa
Wapo wanawake wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Wengi wa wanawake hawa, wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kuhakikisha wanabadilisha maisha ya mwanamke wa Kitanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Furaha ya mwanamke kuona kwa jicho bandia
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!
Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).
Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.
“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Mwanamke afaaye wasioweza kuona na kusikia
10 years ago
Bongo525 Oct
Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Mwanamke Alivyomfanya Zezeta Kaka Yangu – 40
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Tulipofika polisi tulikwenda moja kwa moja kwa Inspekta Ben Matwanga na tuliambiwa yupo na kwamba alikuwa na mahojiano na yule mwanamke aliyemfanya zezeta kaka yangu.SONGA NAYO…
Tuligonga mlango wa ofisi ya mkuu huyo wa polisi akaturuhusu kuingia. Tulipoingia tulionana ana kwa ana na mwanamke huyo ambaye aliinamisha kichwa chake kwa aibu.
“Karibuni. Huyu mama amekiri kuwafanya mazezeta wale watu,” alisema Kamanda Matwanga.“Sasa mtafanyaje? Hana dawa za kuwarejeshea...
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya corona: Walivuta matititi yangu na kusema, 'Wewe ni mwanamke '
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
11 years ago
GPLMWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR
11 years ago
GPLTUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI