Furaha ya mwanamke kuona kwa jicho bandia
Mwanamke mmoja nchini Uingereza, ambaye amekuwa akipoteza uwezo wake wa kuona, ameelezea furaha yake baada ya kuweza kuona tena kwa kutumia ‘jicho bandia’.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Furaha yangu, kuona mwanamke anafanikiwa
Wapo wanawake wenye ushawishi mkubwa katika jamii. Wengi wa wanawake hawa, wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kuhakikisha wanabadilisha maisha ya mwanamke wa Kitanzania.
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Mwanamke afaaye wasioweza kuona na kusikia
Haben Girma ni mwanafunzi wa kwanza asiyeweza kuona au kusikia, kuhitimu kutoka chuo kikuu cha Harvard ambaye amejitahidi kuimarisha upatikanaji wa teknolojia kusaidia wasioweza kuona au kusikia.
10 years ago
GPLHONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA
Meneja Mauzo wa Bayport, Lugano Kasambala (kulia) akitoa mchango na pole kwa Ester Jonas. SIKU chache zimepita kama nilipata kusikia maneno ya busara kutoka kwa Meneja Mauzo wa Bayport Financial Services Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Mkuu huyo wa taasisi hiyo inayojihusisha na mikopo hapa nchini alizungumzia kwa kina vita dhidi ya mauaji ya Albino inayoendelea kushika kasi hapa nchini. Kasambala alikoleza kile...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Arusha itazamwe kwa jicho la tatu
KATIKA historia ya Tanzania, Mkoa wa Arusha umekuwa kati ya maeneo yenye kubeba tunu nyingi za nchi hii, hususan katika sekta ya utalii na madini. Kutokana na fursa hizo, Mkoa...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wawekezaji gesi watazamwe kwa jicho la pili
Wakati shughuli za uwekezaji zikiendelea kwa kasi ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi, mpaka sasa inakadiriwa kuwapo na utajiri wa futi za ujazo trilioni 46 huku Serikali kupitia Shirika la Maendeleo la Petroli nchini (TPDC) likiendelea kusaini mikataba na kampuni mbalimbali katika shughuli za utafutaji wa nishati hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s72-c/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT ni furaha kwa wananchi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s640/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS580PTZPk4C15rBIzP*TL-o1VxB4z9U4A3y3x8DT99tMvYUgPhLVP3WGULgHROEtCSJ3lfdi0QTBKQvOo-wTubD/kipchacopy7770.gif?width=650)
MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!
Niaje…niaje watu wa Mungu? Tupo vizuri…si ndiyo eeh. Basi sawa kozi kona hii ni mzuksi kinomanoma. Ama nene? Basi ni mpango mzima wana. Hapa ni mwendo wa kusanuka na kama vipi ukiona spidi ni kubwa unaruhusiwa kuomba poo. Usijidai kukomaa utapasuka bure. Huu mziki mnene wazazi. Tudei bana ngoja tupige mastori moo ya masela wa tauni. Najua samu pipo tena makachaa wangu kabisa dizaini kama watanimaindi bati kama mbwai...
10 years ago
GPL03 Jun
10 years ago
Mwananchi01 Jul
MAONI : Akidi kupimwa kwa jicho la Spika ni kejeli
Gazeti hili toleo la jana lilikuwa na habari iliyosema wabunge 33 ndiyo waliopitisha Muswada wa Benki ya Posta Tanzania. Idadi hiyo ni ndogo ikilinganishwa na idadi ya wabunge wote ambao ni 356 na nusu yao ni 178. Mahudhurio duni bungeni yameanza kukithiri katika Bunge hili la 10 na kuzoeleka kama tabia au utamaduni mpya wa wabunge.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania