MAONI : Akidi kupimwa kwa jicho la Spika ni kejeli
Gazeti hili toleo la jana lilikuwa na habari iliyosema wabunge 33 ndiyo waliopitisha Muswada wa Benki ya Posta Tanzania. Idadi hiyo ni ndogo ikilinganishwa na idadi ya wabunge wote ambao ni 356 na nusu yao ni 178. Mahudhurio duni bungeni yameanza kukithiri katika Bunge hili la 10 na kuzoeleka kama tabia au utamaduni mpya wa wabunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge
10 years ago
Habarileo30 Jun
Mgombea kijana ataka kupimwa kwa uchapakazi
MGOMBEA nafasi ya kuwania Urais kupitia CCM, Mark Salumu Marupu, amewaondoa hofu mashabiki wake kwa madai kuwa kigezo cha umri sio sababu ya kuzuia ndoto zake za kuwania nafasi hiyo.
10 years ago
Habarileo30 Jun
Ngeleja ataka kupimwa kwa mafanikio yake Nishati
MBUNGE wa Sengerema William Ngeleja (CCM), amekitaka chama chake, katika kuteua mgombea rasmi wa urais wa kukiwakilisha kwenye uchaguzi mkuu ujao, wampime kwanza yeye kwa mambo 15 aliyofanya wakati akiwa Waziri wa Nishati na Madini.
10 years ago
GPLHONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Arusha itazamwe kwa jicho la tatu
KATIKA historia ya Tanzania, Mkoa wa Arusha umekuwa kati ya maeneo yenye kubeba tunu nyingi za nchi hii, hususan katika sekta ya utalii na madini. Kutokana na fursa hizo, Mkoa...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Furaha ya mwanamke kuona kwa jicho bandia
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wawekezaji gesi watazamwe kwa jicho la pili
10 years ago
GPL03 Jun