Mgombea kijana ataka kupimwa kwa uchapakazi
MGOMBEA nafasi ya kuwania Urais kupitia CCM, Mark Salumu Marupu, amewaondoa hofu mashabiki wake kwa madai kuwa kigezo cha umri sio sababu ya kuzuia ndoto zake za kuwania nafasi hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jun
Ngeleja ataka kupimwa kwa mafanikio yake Nishati
MBUNGE wa Sengerema William Ngeleja (CCM), amekitaka chama chake, katika kuteua mgombea rasmi wa urais wa kukiwakilisha kwenye uchaguzi mkuu ujao, wampime kwanza yeye kwa mambo 15 aliyofanya wakati akiwa Waziri wa Nishati na Madini.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ann-lp8tGEkZu6-u5y8y5ck6NG4RT5Xr1ZE88Yleos38ziKj7lLcHdHV-yKO1ZLLc2N2axw46dZgS4B5jNMNUW39nykQK*bg/14.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
MAONI : Akidi kupimwa kwa jicho la Spika ni kejeli
10 years ago
Mwananchi24 May
Rais Kikwete ataka mgombea wa CCM anayekubalika ndani na nje
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Ratiba ya kampeni za mgombea Urais/Mgombea Mwenza kwa Vyama vya Siasa iliyorekebishwa tarehe 20/10/2015
RATIBA REVIEWED ON 20 10 2015.pdf
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6mLiDf2x4Cg/VidsLtiSnyI/AAAAAAAIBd4/Qhn2X_3-Rwg/s72-c/1.png)
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Ratiba ya kampeni za mgombea Urais/Mgombea mwenza kwa vyama vya siasa — kama ilivyorekebishwa tarehe 22/10/2015
RATIBA REVIEWED ON 22 10 2015.pdf
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Dosari yajitokeza kura za maoni ubunge jimbo la Iringa mjini, mgombea ataka mchakato usitishwe
Frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani Iringa akionyesha walivyokosea jina lake.
Frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani Iringa.
Na Mwandishi wetu, Iringa
WAKATI kura za maoni za kutafuta wagombea ubunge katika majimbo yote nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) zikipigwa leo, mmoja kati ya wagombea 13 wanaotafuta nafasi hiyo Jimbo la Iringa Mjini, Frank Kibiki anataka zoezi hilo jimboni humo...