JOHARI: SITAKI KUSIKIA HABARI ZA CHUCHU
![](http://api.ning.com:80/files/TtwBo078M6hxhZgRqqyWHIKMH22Ifsy0IRMe535nXDhO4XQv0sZCeOCJqrCHy7Wc0soXJ6ioUUJVsx4n09DK0i9hcernIs0N/chuchu.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kwa sasa hataki kabisa kusikia habari za mwigizaji, Chuchu Hans ambaye wamekuwa wakitifuana mara kwa mara wakidaiwa kugombea penzi la Vincent Kigosi ‘Ray’. Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akikitemea cheche kinasa sauti cha paparazi wetu baada ya kuulizwa kuhusiana na hatma ya malumbano yao ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Apr
JK: Sitaki tena kusikia dawa za kulevya zinapita
5 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI SITAKI KUSIKIA MGAO WA UMEME,AAGIZA ABUBAKARI KUCHULIWA HATUA KALI
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Iringa katika bwawa la Mtera akitoa katazo la kuwepo kwa mgao wa umeme hapa nchini
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani amepiga marufuku kwa
uongozi wa TANESCO kutoa nishati ya umeme kwa mgao wakati hakuna tatizo lolote la uzalishaji katika vituo vyote...
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Johari: Sitaki filamu za mazoea
NA JANETH MAPUNDA (MSPS)
NYOTA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’, amesema anajipanga ili akitoa filamu ziwe nzuri zitakazoendana na matakwa ya mashabiki wake.
Johari alisema ukimya wake haumaanishi kuishiwa kisanaa bali ni mbinu anayoitumia kutafakari ili akirudi awe mpya kwa mashabiki na kwenye kiwanda cha filamu kwa ujumla.
“Unajua usifanye kazi kwa mazoea ili uonekane, unatakiwa kufanya kazi zenye hadhi na zikonge nyoyo za Watanzania ndiyo maana nipo kimya kwa muda ili nikirudi...
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Chuchu: Ray na Johari si Wapenzi
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Chuchu Hans amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa mpenzi wake ambaye pia ni staa wa filamu,Vincent Kigosi,’Ray’ hana uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Blandina Chagula’Johari’ kama ambavyo watu wanadhani.
Chuchu amefunguka kupitia Movie Leo na Zamaradi Mketema kuwa watu wamekuwa wakidhani Ray na Johari wana uhusiano wa kimapenzi lakini yeye anavyojua hawana uhusiano bali ni wanafanya kazi kwenye kampuni moja kama wakurugenzi(RJ Film).
‘’Ninachojua mimi Ray...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNz-1-jGh3mihXudit9WzLIkYGhLP4U8IjbmCTXmSrgXdTKHSlyscmP7HEqx7FCWlVsYjmJuOOf8PUlVgDEF0avH/johari.jpg)
JOHARI AMTUPIA CHUCHU VIJEMBE MSIBANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-tCGJrEXDA6xBRWxcm1jKmCKr*q7csFvyN7rwrsWVyZU8jfynPxcj1BRQq5zapTNQQpI4p*96iW5ASwgUD2L7Wl/johari.jpg)
JOHARI, CHUCHU NUSU WAZICHAPE TENA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18M4GcHRwiqOJn-UolCJ8sepqY*KNdUuwKgsOpzlyygpFXWM8fchNYCeANyK55LLBhCU6tX6e*HeB8r6p1V4ewD/joharii.jpg?width=650)
JOHARI AWARUSHA ROHO RAY, CHUCHU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk*l598Lp0sfNDra*GH7-TdQtvFYNXZI89G1HKDn0AOiQf2*evw5qRmmWjrWEPSnC4echhksYDlPswdyxGLR7*q/JOHARI.jpg)
JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSYXxVKYjn6oqZ9P35XLnWZQk3Wr6Xc-IW-GNPcTrq0dxRzwNlnFcS8m4ZQKQWztB0CAFtZ683SCd0vMTRDdLaa/johari.jpg?width=650)
JOHARI AWARUSHA ROHO RAY, CHUCHU HANS