Chuchu: Ray na Johari si Wapenzi
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Chuchu Hans amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa mpenzi wake ambaye pia ni staa wa filamu,Vincent Kigosi,’Ray’ hana uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Blandina Chagula’Johari’ kama ambavyo watu wanadhani.
Chuchu amefunguka kupitia Movie Leo na Zamaradi Mketema kuwa watu wamekuwa wakidhani Ray na Johari wana uhusiano wa kimapenzi lakini yeye anavyojua hawana uhusiano bali ni wanafanya kazi kwenye kampuni moja kama wakurugenzi(RJ Film).
‘’Ninachojua mimi Ray...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk*l598Lp0sfNDra*GH7-TdQtvFYNXZI89G1HKDn0AOiQf2*evw5qRmmWjrWEPSnC4echhksYDlPswdyxGLR7*q/JOHARI.jpg)
JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18M4GcHRwiqOJn-UolCJ8sepqY*KNdUuwKgsOpzlyygpFXWM8fchNYCeANyK55LLBhCU6tX6e*HeB8r6p1V4ewD/joharii.jpg?width=650)
JOHARI AWARUSHA ROHO RAY, CHUCHU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSYXxVKYjn6oqZ9P35XLnWZQk3Wr6Xc-IW-GNPcTrq0dxRzwNlnFcS8m4ZQKQWztB0CAFtZ683SCd0vMTRDdLaa/johari.jpg?width=650)
JOHARI AWARUSHA ROHO RAY, CHUCHU HANS
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGTXDEHRlqt*i5gz2sd8D0J-*qJL3JWRa1ixPlNiSzUwfi5P5GP38v7OWNrOcmftue1xOq6kq6pX9xfzZKt*PBsx/chuchu.jpg?width=650)
PENZI LA RAY, CHUCHU CHALI JOHARI MENO 32 NJE
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Chuchu Hans:Ninachojua mimi Johari hakuwahi kuwa mpezi wa Ray!!!
Mrembo na muigizaji wa filamu Chuchu Hans ameyameha hayo kwenye alipokuwa akiohijwa kwenye kipidi cha Take One kinachorushwa na kitucho cha televisheni cha Clouds TV.
“Ninachojua JOHARI hakuwahi kuwa na mahusiano yoyote ya kimapenzi na RAY ila ni Partners in Business tofauti na watu wanavyofahamu"
Chuchu Hans alisisitiza kuwa bado yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji na muongozaji wa filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’mbali na tetesi za zilizoenea kuwa wameteman.
Ray anadaiwa kuwa...
11 years ago
Bongo Movies24 Jul
RAY ashindwa kumzika “Baba’ke” na JOHARI. Chuchu Hans 'atajwa'.
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula.
Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya presha na figo yaliyokuwa yakimsumbua na kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali wa filamu nchini walishiriki akiwemo Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
Alipoulizwa Ray kwa nini hakuhudhuria mazishi hayo, alisema:
“Ukweli...
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka
Inasemekana penzi kati ya waigizaji Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.
Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.
Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNz-1-jGh3mihXudit9WzLIkYGhLP4U8IjbmCTXmSrgXdTKHSlyscmP7HEqx7FCWlVsYjmJuOOf8PUlVgDEF0avH/johari.jpg)
JOHARI AMTUPIA CHUCHU VIJEMBE MSIBANI