Adhabu kwa mke kwa kumtelekeza mume
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamrishwa na mahakama kumlipa mumewe dola 35 kama hela za kukidhi mahitaji yake na watoto wake kila mwezi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mume aua mke kwa kisu
WATU watano wamekufa mkoani Rukwa katika matukio tofauti, akiwemo Silvia Patrick aliyeuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu kifuani kutokana na wivu wa mapenzi. Joseph Dominick (33) baada ya kumuua mkewe huyo mwenye miaka 26, alijaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni, lakini hakufa na amelazwa katika Kituo cha Afya cha Kamasamba wilayani Momba mkoani Mbeya akiwa chini ya ulinzi.
10 years ago
Habarileo03 Mar
Mke, mume kusota kwa kuozesha mtoto
MKE na Mume wanaotuhumiwa kumuoza binti wa miaka 10 jana walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mjini huku Mahakama ikifunga dhamana yao hadi kesi hiyo itakapomalizika.
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mke aua mume kwa kumvunja shingo
MWANAMKE Etina Silumba (44) mkazi wa kijiji cha Mpemba wilayani Momba anashikiliwa na polisi mkoani Mbeya, kwa tuhuma za kumuua mumewe.
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mume aua mke kwa wivu wa mapenzi
NEEMA Sanga (33), mkazi wa Mngeta wilayani Kilombero mkoani hapa, ameuwawa nyumbani kwake kwa kucharangwa mapanga na anayedaiwa kuwa mumewe, Laurian Labani, kwa wivu wa mapenzi. Akizungumza na Waandishi wa...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mke auawa kwa mapanga, mume akimbia
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Mke amuua mume kwa kumpiga nondo kichwani
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mke aua mume kwa kumchoma kisu shingoni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ipUWc7F-KZ8/Xp7WarfOL1I/AAAAAAALnto/7rMK_GSIxiI9wK5SP5-7oftAmy5ESraSQCLcBGAsYHQ/s72-c/cc92c420-52d4-42c9-8f44-40e86643d035.jpg)
Mke na Mume kizimbani kwa maneno hatarishi kuhusu Corona.
BONIPHACE Mwita (49) na mke wake Rosemary Jenera 41 wakazi wa Tabata Kimanga, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo wakikabiliwa na shtaka la kutoa lugha hatarishi kwa lengo kupotosha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona.
Akisoma hati ya Mashtaka wakili wa serikali Mwandamizi Mkunde Mshanga akisaidiana na Wankyo Simon amedai kuwa Machi 20 mwaka huu, ndani jiji la Dar es Salaam washtakiwa hao wakiwa...