Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI AKOMAA NA DEREVA BODABODA

Askari Polisi akimnyang'anya ufunguo mwendesha bodaboda aliyekuwa amembeba abiria asiye na kofia ngumu 'helmet' eneo la Ubungo Mataa jijini Dar es Salaam jambo ambalo ni hatari kutokana na msongamano mkubwa wa magari eneo hilo. (PICHA NA MAKONGORO OGING' / GPL)

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda

Jeshi la Polisi linamshikilia dereva mmoja wa pikipiki, maarufu kama bodaboda wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro baada ya mke wa askari polisi kukutwa amekufa chumbani kwa dereva huyo.

 

5 years ago

Michuzi

MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI

AJALI YA GARI KUGONGA BAJAJI NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dereva wa bodaboda afa ajalini

DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA BODABODA APATA AJALI

 Askari wa Usalama Barabarani akipima ajali iliyotokea Barabara ya Kilwa eneo la Mivinjeni Dar es Salaam jana iliyohisishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS kumgonga mwendesha Pikipiki yenye namba za Usajili  MC 919 CKY akitokea upande wa JKT na Dereva wa Gari hilo akijaribu kukatiza marabara eneo hilo la ajali kwa mujibu wa mashuhuda eneo la tukio. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Wasamaria wema wakijaribu kumbeba na kumuingiza katika Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS Dereva...

 

10 years ago

Mwananchi

Dereva bodaboda auawa kinyama

Watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya dereva wa bodaboda, Omari Shaaban (32) na kumuua kisha kuichoma moto, katika tukio linalohusishwa na visa na wivu wa mapenzi.

 

11 years ago

Habarileo

Dereva bodaboda atekwa, auawa

MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA WA BODABODA APATA AJALI

 Wananchi eneo la Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam wakimwangalia Dereva wa Bodaboda aliyepata ajali ambapo chanzo Cha ajali hakikiweza kupatikana mara moja. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

 

10 years ago

GPL

DEREVA BODABODA ANASWA AKISOMA CHAMPIONI

Mdau wa Bodaboda akipitia nyuzzz  katika gazeti la Championi wakati akiendelea kusubiri abiria katika kituo chake cha kazi.

 

10 years ago

GPL

DEREVA WA BODABODA NUSURA AMUUE MREMBO

Stori: Richard Bukos
DEREVA wa bodaboda aliyefahamika kwa jina moja la Fikiri, nusura amuue mrembo mmoja mkazi wa Tandale-Kwatumbo, jijini Dar baada ya kumparamia na bodaboda kando ya barabara. Mrembo (jina halikufahamika mara moja) aliyenusurika kifo baada ya kugongwa na mwendesha bodaboda aliyefahamika kwa jina moja la Fikiri. Katika tukio hilo lililotokea hivi karibuni, dereva huyo wa bodaboda akiwa anatokea… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani