Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mroki ajipiga risasi na kufa jijini Arusha

timothy

MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo la Shams, jijini hapa.

Kisa cha kujiua kwake kimetajwa ni kusababisha ajali, baada ya kuligonga gari jingine katika eneo la Mbauda wakati akitokea katika makazi yake yaliyopo eneo la Kwa Mrombo, jijini...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MROKI AJIPIGA RISASI NA KUFA ARUSHA


MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo la Shams, jijini hapa.

Kisa cha kujiua kwake kimetajwa ni kusababisha ajali, baada ya kuligonga gari jingine katika eneo la Mbauda wakati akitokea katika makazi yake yaliyopo eneo la Kwa Mrombo, jijini...

 

10 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AJIPIGA RISASI NA KUFA ARUSHA

Mfanyabiashara wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp, Timoth Mroki (36). MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo la Shams, jijini hapa.
Kisa cha kujiua kwake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msanii mchimba madini ajipiga risasi

MSANII wa Bongo fleva na mchimbaji madini wa Kampuni ya Tanzanite One katika mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Moses Komba (28), amenusurika kufa kwa kujipiga risasi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dereva wa OCD wilaya ya Manyoni ajipiga risasi na kufariki

TT_33_Pistol

Na Nathaniel Limu, Singida

DEREVA wa OCD wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,Aloyce Alibinus amefariki dunia papo hapo baada ya kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.

Akizungumza kwa njia ya simu, OCD wilaya ya Manyoni ASSP, Alute Yusufu Makita,amesema tukio hilo limetokea jana februari mbili saa tano asubuhi Manyoni mjini.

Akifafanua alisema kuwa asubuhi ya jana dereva wake bila yeye kujua alikwenda kwenye ghala la kutunzia silaha na kuomba bunduki kwa madai kuwa wanaenda na bosi wake...

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Ajipiga risasi, aacha ujumbe kwa baba mkwe

Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Jitegemee ya Mwanza, Stephano Imbuhu (39), amejiua kwa kujipiga risasi kutokana na kile kinachodaiwa mgogoro katika ndoa.

 

11 years ago

GPL

WANASWA NA MABOMU 7, RISASI 6, BARUTI JIJINI ARUSHA

Na Joseph Ngilisho, Arusha
JESHI la polisi hapa nchini limefanikiwa kuwatia mbaroni vinara wa milipuko ya mabomu hapa nchini, Yusufu Ally (30) na mkewe Sumaina Juma (19), wakazi wa Sombetini, wakiwa na mabomu ya kurusha kwa mkono aina ya Gurnet saba, risasi sita za shotgun, baruti, mapanga mawili na bisibisi moja. Mabomu na risasi walizokutwa nazo Yusufu Ally na mkewe Sumaina Juma. Akizungumza na waandishi wa habari mjini...

 

10 years ago

Mwananchi

KUFA AZIMIO LA ARUSHA:Nyerere alivyotofautiana na Mwinyi

Kumekuwa na mjadala kuhusu sababu za kufa kwa Azmio la Arusha. Azimio hilo lilianzishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama cha Tanu kikiwa na lengo la kutilia mkazo imani na siasa yake ya Ujamaa na Kujitegemea

 

10 years ago

GPL

RISASI ZARINDIMA VITUO VYA BVR, ARUSHA

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema akiongea na wananchi wa Arusha ( Picha na Maktaba). MILIO ya risasi ilisikika katika vituo vya uandikishaji kura katika kata ya Sokoni One jijini hapa, baada ya kuibuka kwa vurugu zilizohusisha vijana wa Chadema na wenzao wa CCM, chanzo kikitajwa madai ya kuwepo kwa watu ambao sio wakazi wa eneo hilo kutaka kujiandikisha. Vurugu hizo zilisababisha takribani watu 15 kukamatwa akiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani