KUFA AZIMIO LA ARUSHA:Nyerere alivyotofautiana na Mwinyi
Kumekuwa na mjadala kuhusu sababu za kufa kwa Azmio la Arusha. Azimio hilo lilianzishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama cha Tanu kikiwa na lengo la kutilia mkazo imani na siasa yake ya Ujamaa na Kujitegemea
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
Azimio la Arusha halijafutwa- Mwinyi
RAIS wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi.
Hata hivyo amesema kilichofanyika ni ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.
Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam katika semina ya siku moja ya maandalizi ya sheria ya kudhibiti mgongano wa maslai miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma iliyoandaliwa na Sekretarieti ya Maadili ya viongozi.
“Serikali...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Mwinyi: Serikali haikufuta azimio la Arusha
Rais wa Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
Na Joseph Ishengoma, MAELEZO
Rais wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi amesema serikali haijawahi kufuta Azimio la Arusha kama inavyodaiwa na baadhi ya wananchi, bali ilizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati uwezo wa kumudu makali ya maisha.
“Serikali haikufuta Azimio la Arusha. Ililizimua azimio hilo kuwapatia viongozi wa kati kumudu makali ya maisha, lakini baadhi ya viongozi wamekuwa wakitumia vibaya nafasi hiyo...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mzee Mwinyi asema Serikali haikufuta Azimio la Arusha
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Butiama ‘walia’ Azimio la Arusha kufinyangwa
10 years ago
Dewji Blog09 Nov
Azimio la Arusha la kukabili ujangili lapita
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza kwenye mkutano wa kikanda unaozungumzia ujangili na hifadhi endelevu ulioshirikisha mataifa ya Afrika, wajumbe wa Bunge la Marekani (Congress) Mashirika ya Umoja wa Mataifa, mataifa washirika wa maendeleo, wanazuoni na wawakilishi wa taasisi zisizo za serikali uliomalizika jana jijini Arusha na kufungwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. Kushoto Mwenyekiti wa mkutano wa kikanda wa...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tuliyoshindwa kujifunza kutoka Azimio la Arusha
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mnara wa Azimio la Arusha ‘umepoteza’ historia yake
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_5047.jpg?width=650)
AZIMIO LA ARUSHA LA KUKABILI UJANGILI LAPITA
10 years ago
Mwananchi10 Dec
‘Utawala mbovu ni matokeo ya kufutwa kwa Azimio la Arusha’