Azimio la Arusha la kukabili ujangili lapita
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza kwenye mkutano wa kikanda unaozungumzia ujangili na hifadhi endelevu ulioshirikisha mataifa ya Afrika, wajumbe wa Bunge la Marekani (Congress) Mashirika ya Umoja wa Mataifa, mataifa washirika wa maendeleo, wanazuoni na wawakilishi wa taasisi zisizo za serikali uliomalizika jana jijini Arusha na kufungwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. Kushoto Mwenyekiti wa mkutano wa kikanda wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_5047.jpg?width=650)
AZIMIO LA ARUSHA LA KUKABILI UJANGILI LAPITA
10 years ago
Habarileo10 Nov
Pinda asititiza azimio la ujangili
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na zilizo Kusini mwa Ikweta.
10 years ago
Habarileo09 Nov
Azimio kukomesha ujangili lapitishwa
JUMUIYA ya Kimataifa imepitisha Azimio la Arusha, lenye lengo la kukabiliana na ujangili na kuendeleza wanyama.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lrhoagJJjlE/VbsHYPK9BvI/AAAAAAAHs3c/twJiQst18Rc/s72-c/UntitledN1.png)
UMOJA WA MATAIFA WAPITISHA KWA KAULI MOJA AZIMIO DHIDI YA UJANGILI WA WANYAMAPOLI
![](http://4.bp.blogspot.com/-lrhoagJJjlE/VbsHYPK9BvI/AAAAAAAHs3c/twJiQst18Rc/s640/UntitledN1.png)
Na Mwandishi Maalum, New York
Kwa mara ya kwanza jana alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa kauli moja, azimio la kihistoria linalolenga...
9 years ago
Habarileo30 Oct
Serikali yaajiri 588 kukabili ujangili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetoa ajira mpya kwa watumishi wapya wapatao 588 ikiwa idadi kubwa miongoni mwao ni watumishi wa kada ya Ofisa Wanyamapori na Wahifadhi Wanyamapori, lengo likiwa ni kukabiliana na mashambulio mengi kutoka kwa majangili.
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...
9 years ago
Habarileo18 Sep
Ndege maalumu kukabili ujangili yaingia nchini
SERIKALI imeombwa kuridhia matumizi ya ndege maalumu zisizo na rubani kutoka kampuni ya Martin UAV ya Marekani, kwa ajili ya kukabiliana na vitendo vya kudhibiti ujangili katika hifadhi mbalimbali za taifa, hususani ule unaowalenga wanyama aina ya tembo.
11 years ago
Habarileo10 Apr
Bilionea Buffet atoa helikopta kukabili ujangili
BILIONEA wa Kimarekani Howard G. Buffett kupitia taasisi yake ametoa msaada zaidi wa kukabiliana na ujangili ikiwemo helkopta pamoja na kusomesha marubani. Msaada huo una thamani ya Shilingi bilioni 3.8.
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
WWF watoa mabango ya kukabili ujangili nchini
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wa jijini Dar es salaam, Bw. Moses Malaki (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati wa hafla ya kukabidhiwa mabango yanayotahadharisha wananchi na wageni waingiao na watokao Tanzania kutojihusisha na shughuli yoyote inayohusiana na ujangili wa wanyama (kushoto), Mkurugenzi wa WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na...