Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAG achunguza ubadhirifu TPRI

TAASISI ya Utafiti wa Dawa za Mimea na Wadudu (TPRI) yenye makao makuu mkoani Arusha imekumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha zaidi ya sh milioni 317 ambazo hazijulikani matumizi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) atatumia siku 45 kuchunguza kashfa ya ufisadi wa zaidi ya Sh200 bilioni zilizolipwa kwa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL kutoka katika Akaunti ya Escrow.

 

10 years ago

Michuzi

UBADHIRIFU KATIKA TASINIA NDOGO YA TUMBAKU WAZIRI CHIZA AKABIDHI RIPOTI YA CAG

Na. Job Mika - WKCU
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...

 

5 years ago

Michuzi

TTCL, TPRI kuzindua huduma ya kuhakiki viuatilifu kielektroniki


Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano TTCL, Kezia Katamboi (kulia), akibadilishana mkataba na Kaimu Mkurugeni Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu vya Kudhibiti Visumbufu katika Ukanda wa Kitropiki (TPRI), Dk. Margaret Mollel baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya maandalizi ya kutoa huduma ya T- Hakiki ambayo ni maalumu kwa wakulima na wafugaji kuhakiki kwa njia ya simu viuatilifu vilivyosajiliwa.
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano TTCL, Kezia Katamboi (kulia), na Kaimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP achunguza ufisadi ushirika

MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Issaya Mngulu, ameunda tumu kuchunguza wizi wa sh bilioni 12 katika vyama vya msingi vya ushirika mkoani hapa. Wizi huo umekuwa ukilalamikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msajili achunguza kipigo cha padri Kalenga

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imesema inachunguza tuhuma za kupigwa kwa Padri wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basil Mkuu, Constantino Mbilinyi, anayedaiwa kupigwa na wafuasi...

 

9 years ago

Habarileo

15 kushitakiwa kwa ubadhirifu

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAKWATA yachunguza ubadhirifu

KATIBU wa Baraza la Waislamu  Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi  tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ubadhirifu wakimbiza wafadhili

Kamati ya Shirika la New Yearly Meeting la Marekani, imesitisha ufadhili wa wanafunzi wanaosoma elimu ya juu, vyuo mbalimbali na ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi na sekondari Kisangura, wilayani Serengeti kutokana na jamii kutotoa ushirikiano.

 

11 years ago

Mwananchi

Ubadhirifu nchini, unatia kichefuchefu

Rushwa na ubadhirifu ni uozo ulioota mizizi nchini. Hali hizi hazikuwa maarufu wakati ambapo kweli Tanzania ilikuwa ikifuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea kwa sababu, siasa hiyo haikuruhusu ubinafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani