CAG achunguza ubadhirifu TPRI
TAASISI ya Utafiti wa Dawa za Mimea na Wadudu (TPRI) yenye makao makuu mkoani Arusha imekumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha zaidi ya sh milioni 317 ambazo hazijulikani matumizi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 May
CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9rRTOkRbvyg/VGIf_r1X-tI/AAAAAAAGwlg/LAI5UDbEwSc/s72-c/1....jpg)
UBADHIRIFU KATIKA TASINIA NDOGO YA TUMBAKU WAZIRI CHIZA AKABIDHI RIPOTI YA CAG
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...
5 years ago
MichuziTTCL, TPRI kuzindua huduma ya kuhakiki viuatilifu kielektroniki
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano TTCL, Kezia Katamboi (kulia), akibadilishana mkataba na Kaimu Mkurugeni Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu vya Kudhibiti Visumbufu katika Ukanda wa Kitropiki (TPRI), Dk. Margaret Mollel baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya maandalizi ya kutoa huduma ya T- Hakiki ambayo ni maalumu kwa wakulima na wafugaji kuhakiki kwa njia ya simu viuatilifu vilivyosajiliwa.
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano TTCL, Kezia Katamboi (kulia), na Kaimu...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
IGP achunguza ufisadi ushirika
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Issaya Mngulu, ameunda tumu kuchunguza wizi wa sh bilioni 12 katika vyama vya msingi vya ushirika mkoani hapa. Wizi huo umekuwa ukilalamikiwa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Msajili achunguza kipigo cha padri Kalenga
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imesema inachunguza tuhuma za kupigwa kwa Padri wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basil Mkuu, Constantino Mbilinyi, anayedaiwa kupigwa na wafuasi...
9 years ago
Habarileo04 Jan
15 kushitakiwa kwa ubadhirifu
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
BAKWATA yachunguza ubadhirifu
KATIBU wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Ubadhirifu wakimbiza wafadhili
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Ubadhirifu nchini, unatia kichefuchefu