TTCL, TPRI kuzindua huduma ya kuhakiki viuatilifu kielektroniki
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano TTCL, Kezia Katamboi (kulia), akibadilishana mkataba na Kaimu Mkurugeni Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu vya Kudhibiti Visumbufu katika Ukanda wa Kitropiki (TPRI), Dk. Margaret Mollel baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya maandalizi ya kutoa huduma ya T- Hakiki ambayo ni maalumu kwa wakulima na wafugaji kuhakiki kwa njia ya simu viuatilifu vilivyosajiliwa.
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano TTCL, Kezia Katamboi (kulia), na Kaimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
TTCL kuzindua Huduma ya 4G LTE kesho
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo siku ya uzinduzi itatoa huduma katika maeneo 11 Jijini Dar es salaam.
Maeneo hayo ni pamoja na Uwanja wa Ndege wa Mwl J.K. Nyerere, Pugu Road, Posta Mpya, Upanga, Kinondoni, Ubungo, Oysterbay, Mwenge, Mbezi Tangibovu, Mbezi Exchange, Kunduchi Salasala na Wazo Tegeta. Awamu pili itakuwa kupeleka mawasiliano hayo katika maeneo...
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
TTCL kuimarisha huduma za intaneti
KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imewashawishi Watanzania kuendelea kutumia huduma zake mwaka 2014, huku ikiahidi kuimarisha huduma katika sauti, data na intaneti. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...
10 years ago
Michuzi12 Jun
TTCL Yakabidhi Mradi wa Huduma za Mawasiliano TBL
![Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya TBL, Kevin O'Flaherty hati ya makabidhiano ya mradi wa kuyaunga kimawasiliano ya kisasa matawi ya kampuni ya bia Tanzania (TBL) jana jijini Dar es Salam, hafla hiyo iliyofanyika ofisi za TBL Ilala jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/TTCL13.jpg)
![Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (kulia) akisaini hati ya makabidhiano ya mradi wa kuyaunga kimawasiliano ya kisasa matawi ya kampuni ya Bia Tanzania (TBL) jana jijini Dar es Salam, kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya TBL, Kevin O'Flaherty akiiwakilisha kampuni yake katika hafla hiyo iliyofanyika ofisi za TBL Ilala jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/TTCL8.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0auWiDwm_EU/U-NJ0Z6SeVI/AAAAAAAF9uU/fj4Q3qvdlsY/s72-c/1.jpg)
TTCL YAZINDUA HUDUMA YAKE MPYA YA BWERERE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0auWiDwm_EU/U-NJ0Z6SeVI/AAAAAAAF9uU/fj4Q3qvdlsY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bFzp5YttLkE/U-NJ1LIiRKI/AAAAAAAF9uY/R2oduK7Eacw/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Pq-QiyxJ-wU/U7KyciKSf8I/AAAAAAACkmw/mVhFY6J6S2c/s72-c/4.jpg)
KUTOKA SABA SABA LEO:TTCL KUZINDUA KITUO KIKUBWA CHA KUUZIA INTERNET AFRIKA MASHARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pq-QiyxJ-wU/U7KyciKSf8I/AAAAAAACkmw/mVhFY6J6S2c/s1600/4.jpg)
Bwa.Thomas amebainisha kuwa Mkongo wa Taifa wa mawasiliano umekwisha sambaa maeneo mengi ikiwemo mikoa 21 ya Tanzania mpaka sasa,Amesema kuwa Makampuni yote ya ndani yanatumia mkongo huu wa mawasiliano kupeleka huduma kwa wananchi na...
10 years ago
MichuziBENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR
9 years ago
StarTV14 Nov
TTCL lapinga madai ya TEWUTA kudorora kwa huduma
Wakati Chama cha Wafanyakazi wa Huduma za Mtandao wa Mawasiliano TEWUTA kikidai kuwepo kwa hali mbaya ya huduma na utendaji kwenye shirika la simu nchini TTCL, uongozi wa shirika hilo umeutaka umma wa Tanzania kutozingatia tamko hilo kwa kuwa halina maslahi yoyote kitaifa.
TTCL inasema shirika lake linaendelea vema kutoa huduma kwa wananchi na wanaamini hivyo kwa kuwa halijapata malalamiko yoyote yanayohusiana na utoaji huduma duni kutoka kwa wateja.
Start Tv imetembea ofisi za TTCL makao...
10 years ago
GPLNMB KUZINDUA HUDUMA MPYA YA MASTERCARD