BENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR
Mkurugenzi Mkuu wa VIVA Tower Viral Manek, akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya I&M katika jengo hilo litakalotoa huduma masaa 24, kwa kuweka na kutoa fedha na kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mfumo mpya wa mashine za kieletroniki (ATMs). Kushoto ni mkurugenzi mkuu wa benki hiyo, Bw. Anurag Doreha, Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (katikati) akifafanua jambo baada ya uzinduzi wa tawi jipya la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Athr67eHfg/VmvvpjexGII/AAAAAAAAwKc/5yMiL3Osw00/s72-c/DSCF0411.jpg)
Dj Bonny Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul kiota cha maraha cha Raphsody ndani ya Jengo la Viva Towers jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Athr67eHfg/VmvvpjexGII/AAAAAAAAwKc/5yMiL3Osw00/s640/DSCF0411.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhksZO6w7jU/VmvvrLs8z7I/AAAAAAAAwKs/Eu-a_IZZidA/s640/DSCF0431.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LaWD0WPEFjo/VhWFopGjndI/AAAAAAAH9cQ/qxRZrsgCAls/s72-c/1.jpg)
UHURU ONE YAZINDUA MFUMO WA KWANZA WA MAWASILIANO YA 4G DVNO LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-LaWD0WPEFjo/VhWFopGjndI/AAAAAAAH9cQ/qxRZrsgCAls/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0Ceu2yVSkZs/VhWFon_WgcI/AAAAAAAH9cU/Y43AvdS-JIA/s640/2.jpg)
KAMPUNI ya Tigo na kampuni ya UhuruOne wameanzisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JcR2F9vtsC0/U0Oi-7JFcZI/AAAAAAAFZQ8/J4s17mX-GK4/s72-c/photo1+(1).jpg)
Benki ya NBC yazindua Huduma ya Bima ya Bure ya Mkopo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-JcR2F9vtsC0/U0Oi-7JFcZI/AAAAAAAFZQ8/J4s17mX-GK4/s1600/photo1+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KpkZhLSwftk/U0Oi8mkWgiI/AAAAAAAFZQw/kh3ulEq0ZBo/s1600/photo2+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gJaOj74GREs/Uy9JE8ZaGeI/AAAAAAAFVzw/FgQqbFQiL9Q/s72-c/unnamed+(100).jpg)
RUSSELL HOBBS OPENS THE WORLD’S FIRST EXCLUSIVE CONCEPT STORE AT VIVA TOWERS IN DAR ES SALAAM, TANZANIA;
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRTC33FoJpMPtR95BMETABF3J66FaYkMHgoiVCeXznZWTa9NAPYmyHPv6ohjSbcns6I0XJXO64ABn1RVwYFKA8X2/11.jpg)
AFARIKI BAADA YA KUANGUKA KATIKA JENGO LA BENKI JIJINI LONDON
9 years ago
VijimamboBENKI KUU YA TANZANIA YAANZISHA MFUMO MPYA WA MALIPO KWA MASAA 24 UTAJULIKANA KAMA TISS.
11 years ago
GPLBENKI YA COVENANT YAZINDUA HUDUMA YA BENKI MTAANI KWAKO
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...