Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LaWD0WPEFjo/VhWFopGjndI/AAAAAAAH9cQ/qxRZrsgCAls/s72-c/1.jpg)
UHURU ONE YAZINDUA MFUMO WA KWANZA WA MAWASILIANO YA 4G DVNO LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-LaWD0WPEFjo/VhWFopGjndI/AAAAAAAH9cQ/qxRZrsgCAls/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0Ceu2yVSkZs/VhWFon_WgcI/AAAAAAAH9cU/Y43AvdS-JIA/s640/2.jpg)
KAMPUNI ya Tigo na kampuni ya UhuruOne wameanzisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JcR2F9vtsC0/U0Oi-7JFcZI/AAAAAAAFZQ8/J4s17mX-GK4/s72-c/photo1+(1).jpg)
Benki ya NBC yazindua Huduma ya Bima ya Bure ya Mkopo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-JcR2F9vtsC0/U0Oi-7JFcZI/AAAAAAAFZQ8/J4s17mX-GK4/s1600/photo1+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KpkZhLSwftk/U0Oi8mkWgiI/AAAAAAAFZQw/kh3ulEq0ZBo/s1600/photo2+(1).jpg)
9 years ago
VijimamboBENKI KUU YA TANZANIA YAANZISHA MFUMO MPYA WA MALIPO KWA MASAA 24 UTAJULIKANA KAMA TISS.
11 years ago
GPLBENKI YA COVENANT YAZINDUA HUDUMA YA BENKI MTAANI KWAKO
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mfumo wa Kielektroniki kutumika ukusanyaji wa kodi ya majengo jijini Mwanza
Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Aggrey Mwanri.
Na. Johary KachwambaJIJI la Mwanza limeingizwa katika mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa majengo yote yanayopaswa kufanyiwa uthamini unaojulikana kama Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS) kupitia mradi wa Miji ya kimkakati (TSCP) unaohisaniwa na Benki ya Dunia. Katika kujibu swali la Mhe.Dkt. Festus Bulugu, Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Kampuni ya Interswitch yazindua huduma ya malipo kwa njia ya mtandao jijini Dar leo
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Interswitch kwa Afrika Mashariki Bernard Matthewman, akizungumza na wadau mbalimbali Dar es Salaam leo , wakati wa uzinduzi wa kampuni hiyo hapa nchini uliofanyika Hoteli ya Hyatt Regency- Kilimanjaro pamoja na huduma ya malipo kwa njia ya mtandao.
Wadau wakiwa kwenye uzinduzi huo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bVuGGmmm9p4/Vl7PaRU_4lI/AAAAAAAAUcc/vRpCaHHvsXQ/s640/3.jpg)
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-swvF1Q-xtC8/Vl7PeuUwhhI/AAAAAAAAUc0/lk0IhnhaM5w/s640/5.jpg)
Maofisa wa kampuni hiyo wakiwa kwenye uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tp7ynrrJ9SE/Vl7PfR2OXnI/AAAAAAAAUc4/jnA5KrTvdMM/s640/6.jpg)
Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo akiwa katika uzinduzi huo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-G04UNqJyF1U/Vl7PigfSCrI/AAAAAAAAUdE/dObV4YhFduI/s640/7.jpg)
Mkutano na...
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
BM Hair & Beauty Clinic wazindua huduma mpya jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-yV2ADaBO-J8/VX2Dxf70A0I/AAAAAAABhnY/0tnh44Jluak/s640/DSC_0105.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mOEFPNyn5l4/VX2DxwhSOGI/AAAAAAABhnc/h8D89Qbmz1A/s640/DSC_0109.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akionyesha glasi juu yenye kinywaji pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya BM Hair & Beauty Clinic, Benno Chelele kuashiria kuzinduliwa kwa huduma mpya.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RDJGJsk5eU/VX2DpstOVgI/AAAAAAABhmk/COB4RlJEDs0/s640/DSC_0053.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O2h96dqyl2w/VX2DowVosFI/AAAAAAABhmg/vheFsWXlAVw/s640/DSC_0062.jpg)
Mkuu wa...