BM Hair & Beauty Clinic wazindua huduma mpya jijini Dar
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akikata utepe kuzindua huduma mpya za BM Hair and Beauty Clinic huku akisaidiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya BM Hair & Beauty Clinic, Benno Chelele leo jijini Dar es Salaam. Kwa sasa wamefikisha miaka 14 kwa kutoa huduma zenye ubora tokea imeanzishwa.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akionyesha glasi juu yenye kinywaji pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya BM Hair & Beauty Clinic, Benno Chelele kuashiria kuzinduliwa kwa huduma mpya.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RDJGJsk5eU/VX2DpstOVgI/AAAAAAABhmk/COB4RlJEDs0/s640/DSC_0053.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O2h96dqyl2w/VX2DowVosFI/AAAAAAABhmg/vheFsWXlAVw/s640/DSC_0062.jpg)
Mkuu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vqU7FTLqiKY/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vqU7FTLqiKY/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qcO4EDD_hYM/VSaiJlMXZbI/AAAAAAAC3AM/1JuEzoJkspI/s72-c/1.jpg)
AIRTEL NA NMB WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-qcO4EDD_hYM/VSaiJlMXZbI/AAAAAAAC3AM/1JuEzoJkspI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IOD3SpnVUdE/VSaiiQAGOnI/AAAAAAAC3Ac/Z4D4YBZmHNs/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BJo6fFWiuVI/VSaiebYaCwI/AAAAAAAC3AU/ODGrzZF2VL0/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xCPTueSeZiE/VnKqARBLlRI/AAAAAAAINGg/vkcPj_m5QJE/s72-c/IMG_8448.jpg)
BANKI YA BARCLAYS WAZINDUA OFISI MPYA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-xCPTueSeZiE/VnKqARBLlRI/AAAAAAAINGg/vkcPj_m5QJE/s640/IMG_8448.jpg)
Mwenyekiti wa bodi wa Benki ya Barclays hapa nchini, Ramadhani Dau akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ofisi mpya kwenye ghorofa ya pili ya jengo la benki hiyo lililopo jengo la Makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Mkurugenzi mkuu mtendaji wa benki ya Barclays Tanzania, Kihara Maina akiwa na baadhi ya wadau wa benki hiyo wakati wa kuzindua ofisi ya benki hiyo ghorofa ya pili ya benki hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-guQKpbWRYDU/VnKqAtF3hvI/AAAAAAAINGc/1gFxTHPdTVg/s640/IMG_8462.jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar
Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. (Picha...
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tUnUkKlrw5M/VDUElWKboKI/AAAAAAAGong/FGuUFVPuotE/s72-c/2.jpg)
FINCA WAZINDUA KAMPENI YAO MPYA YA FIKA NA FINCA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-tUnUkKlrw5M/VDUElWKboKI/AAAAAAAGong/FGuUFVPuotE/s1600/2.jpg)
10 years ago
MichuziSmile wazindua huduma mpya ya internet
10 years ago
MichuziBENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR