Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar
Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. (Picha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Faidika yazindua bidhaa mpya ya mikopo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya kifedha, Faidika imezindua bidhaa mpya ya mkopo maarufu kama ‘Executive’ inayolenga kuwezesha upatikanaji rahisi wa mkopo usiokuwa na dhamana kwa wafanyakazi wa serikalini wa mpaka Sh milioni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Marion Moore, alisema mkopo huo mpya ni moja kati ya bidhaa ya kipekee nchini yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi kutoka...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v33f7WzH5vg/XsfOCAVseeI/AAAAAAALrSA/QUHBEKn6Mxww0uAbCM22iIrxAFs48iixwCLcBGAsYHQ/s72-c/022d499c192b831645d242240d3ba24b.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWASILISHA MALALAMIKO YA WATEJA KWENYE TAASISI ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-v33f7WzH5vg/XsfOCAVseeI/AAAAAAALrSA/QUHBEKn6Mxww0uAbCM22iIrxAFs48iixwCLcBGAsYHQ/s640/022d499c192b831645d242240d3ba24b.png)
maombi yao ya kulipa mkopo mapema, kutozwa riba na gharama zingine kubwa wanapotaka kulipa mkopo mapema. Kutokana na malalamiko hayo, Benki Kuu ya Tanzania imewaagiza Watoa Huduma Ndogo za Fedha waliolalamikiwa kuchukuwa hatua zifuatazo:
1....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EniQgsmsXDE/Xun6jPl3hII/AAAAAAAEH2o/_hkrVfx21CQJpVXTi9u9BUVbpxT5l3-6wCLcBGAsYHQ/s72-c/EXEC-PIX-1.jpg)
Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...
9 years ago
TheCitizen17 Nov
Faidika Tanzania buys into Advans Bank
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA yawezesha wajasiriamali baada ya mafunzo ya biashara
![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s1600/Faidika+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-toPm1aWlA-I/U8eBEBo2QoI/AAAAAAAClo8/P_GUxeAU0Ws/s1600/Faidika+6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Benki ya BOA waletea wateja wake huduma mpya ya kutuma fedha Kimataifa ya ‘WARI’
Mkurugenzi wa ICT , Bw. Willington Munya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma hiyo mpya ya BOA. anayefuatia ni Meneja wa E.Banking, Bi. Editha Jumbe na wa mwisho ni Afisa masoko Danieli Sarungi. ( Picha na Niccomediatz).
Benk ya BOA Tanzania imeleta huduma mpya kwa wateja wake ijulikanayo kama WARI-huduma ya kutuma fedha kimataifa ambapo kwa sasa huduma hiyo imeingia nchini na mteja anaweza kutuma na kupokea fedha ndani na nje bila ya kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6hhZBgxm7kA/UyaGMLT2BXI/AAAAAAACco8/8Kf8ct1WDsY/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA: Kuchukua mikopo ya biashara bila elimu ya ujasiriamali ni hatari
![](http://1.bp.blogspot.com/-6hhZBgxm7kA/UyaGMLT2BXI/AAAAAAACco8/8Kf8ct1WDsY/s1600/Faidika+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZZ-2lOYlm7A/UyaGMerdQnI/AAAAAAACcpA/ION8tpO2Doc/s1600/Faidika+3.jpg)