FAIDIKA: Kuchukua mikopo ya biashara bila elimu ya ujasiriamali ni hatari
![](http://1.bp.blogspot.com/-6hhZBgxm7kA/UyaGMLT2BXI/AAAAAAACco8/8Kf8ct1WDsY/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA Chief Executive Officer Marion Moore (right) hands over a certificate to Margaret Yohana, an entrepreneur from Famasa Disabled Group who attended a two days " NAWEZA", a FAIDIKA free financial empowerment seminar held in Dar es Salaam end of the week. Left is co-author and project coordinator, Dr Ellen Otaru Okoedion.
FAIDIKA Chief Executive Officer Marion Moore (right) hands over a certificate to Famasa Disabled Group Chairperson, Lillian Kabaliki, who was part of...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Faidika yazindua bidhaa mpya ya mikopo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya kifedha, Faidika imezindua bidhaa mpya ya mkopo maarufu kama ‘Executive’ inayolenga kuwezesha upatikanaji rahisi wa mkopo usiokuwa na dhamana kwa wafanyakazi wa serikalini wa mpaka Sh milioni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Marion Moore, alisema mkopo huo mpya ni moja kati ya bidhaa ya kipekee nchini yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi kutoka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA yawezesha wajasiriamali baada ya mafunzo ya biashara
![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s1600/Faidika+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-toPm1aWlA-I/U8eBEBo2QoI/AAAAAAAClo8/P_GUxeAU0Ws/s1600/Faidika+6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar
Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. (Picha...
10 years ago
GPLBODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU YAELEZEA UREJESHWAJI WA MIKOPO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
11 years ago
Michuzi02 Jul
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Ataka elimu ya ujasiriamali wa vikundi
SERIKALI imetakiwa kuvipa kipaumbele vikundi vya ujasiriamali ikiwa na pamoja na kuwapatia elimu ya mafunzo mara kwa mara. Ushauri huo ulitolewa na Mwalimu wa Vikoba, Rukia Mwinyi wakati wa mafunzo ya wajasiliamali...