Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faidika Tanzania buys into Advans Bank

Letshego, a credit institution which operates as Faidika Tanzania, has acquired a 75 per cent stake in Advans Bank Tanzania, a move aimed at diversifying its customers as well as enhancing financial inclusion services to both lower and middle income sectors.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans Tanzania!

DSC_1794

Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa  utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans Tanzania.  wengine ni maafisa waandamizi wa kampuni hiyo (Picha zote na Andrew Chale)

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Kampuni ya LETSHEGO Holding Limited  yenye makao yake makuu nchini Botswana ambayo kwa Tanzania ikijulikana kama  taasisi ya Mikopo ya Faidika, imetangaz...

 

11 years ago

TheCitizen

Advans Bank targets to serve SMEs

Advans Bank has been operating in Dar es Salaam for about three years. Now it is targeting upcountry areas especially those famous for agriculture and fishing.

 

9 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar

DSC_2594

Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam.  (Picha...

 

11 years ago

Michuzi

Bank of Africa Tanzania and European Investment Bank ink partnership

Mr. Pim van Ballekom, European Investment Bank Vice President for Africa and Mr. Ammish Owusu-Amoah, Managing Director of BANK OF AFRICA - TANZANIA signing of MOU between the two parties to unlock Euros 7 M in Tanzania.  Mr. Pim van Ballekom, European Investment Bank Vice President for Africa and Mr. Ammish Owusu-Amoah, Managing Director of BANK OF AFRICA - TANZANIA exchange documents after signing of MOU between the two parties to unlock Euros 7 M in...

 

11 years ago

Michuzi

NIC Bank Tanzania receives TZs 8.5Billion capital boost:Funds to support the Bank’s lending capacity targeted at Corporate and SME market

NIC Bank Tanzania will benefit from Tzs 8.5 Billion of additional capital from the Bank’s shareholders. The funds will be disseminated in two tranches of Tzs 5.8B with the injection of additional capital from NIC Bank Kenya already done in December 2013, with the Tzs 2.7B balance from the other local shareholders of NIC Bank Tanzania expected within a period of 6 months but no later than June 2014.


“A growing financial need in this market has required that NIC Bank Tanzania further grow...

 

10 years ago

Mwananchi

Advans kuwakwamua wafanyabiashara

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo zinazotolewa na benki kwa ajili ya kukuza mitaji yao ili waweze kushiriki kikamilifu katika harakati za kujikwamua kiuchumi.

 

10 years ago

Mtanzania

Faidika yazindua bidhaa mpya ya mikopo

EXEC PIX 1Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya kifedha, Faidika imezindua bidhaa mpya ya mkopo maarufu kama ‘Executive’ inayolenga kuwezesha upatikanaji rahisi wa mkopo usiokuwa na dhamana kwa wafanyakazi wa serikalini wa mpaka Sh milioni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Marion Moore, alisema mkopo huo mpya ni moja kati ya bidhaa ya kipekee nchini yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

FAIDIKA yawezesha wajasiriamali baada ya mafunzo ya biashara

 Mkurugenzi wa viwanda vidogo na biashara ndogo ndogo na za kati kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Consolata Ishebabi akizungumuza na wajasiriamali kutoka mikoa ya Mbeya, Arusha na Dar es Salaam waliopata mafunzo juu ya uendeshaji biashara, kabla ya kupata fedha kwa ajili ya mitaji kutoka taasisi ya kifedha ya FAIDIKA. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa FAIDIKA Marion Moore na kulia ni Mwalimu wa wajasiriamali Bi. Mariam Tambwe. Mkurugenzi wa viwanda vidogo na biashara ndogo ndogo na za...

 

5 years ago

Michuzi

Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania

· Yaongeza kiwango cha kukopa, muda malipo na kupunguza riba
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani