Faidika Tanzania buys into Advans Bank
Letshego, a credit institution which operates as Faidika Tanzania, has acquired a 75 per cent stake in Advans Bank Tanzania, a move aimed at diversifying its customers as well as enhancing financial inclusion services to both lower and middle income sectors.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans Tanzania!
Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans Tanzania. wengine ni maafisa waandamizi wa kampuni hiyo (Picha zote na Andrew Chale)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Kampuni ya LETSHEGO Holding Limited yenye makao yake makuu nchini Botswana ambayo kwa Tanzania ikijulikana kama taasisi ya Mikopo ya Faidika, imetangaz...
11 years ago
TheCitizen01 May
Advans Bank targets to serve SMEs
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar
Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. (Picha...
11 years ago
Michuzi06 Mar
Bank of Africa Tanzania and European Investment Bank ink partnership
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qPvFIaXqne4/UwOzhw9cvUI/AAAAAAAFN08/61n4WOit1u0/s72-c/__320x320_5215a08d900a5.jpg)
NIC Bank Tanzania receives TZs 8.5Billion capital boost:Funds to support the Bank’s lending capacity targeted at Corporate and SME market
![](http://3.bp.blogspot.com/-qPvFIaXqne4/UwOzhw9cvUI/AAAAAAAFN08/61n4WOit1u0/s1600/__320x320_5215a08d900a5.jpg)
“A growing financial need in this market has required that NIC Bank Tanzania further grow...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Advans kuwakwamua wafanyabiashara
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Faidika yazindua bidhaa mpya ya mikopo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya kifedha, Faidika imezindua bidhaa mpya ya mkopo maarufu kama ‘Executive’ inayolenga kuwezesha upatikanaji rahisi wa mkopo usiokuwa na dhamana kwa wafanyakazi wa serikalini wa mpaka Sh milioni 30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Marion Moore, alisema mkopo huo mpya ni moja kati ya bidhaa ya kipekee nchini yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi kutoka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA yawezesha wajasiriamali baada ya mafunzo ya biashara
![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s1600/Faidika+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-toPm1aWlA-I/U8eBEBo2QoI/AAAAAAAClo8/P_GUxeAU0Ws/s1600/Faidika+6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EniQgsmsXDE/Xun6jPl3hII/AAAAAAAEH2o/_hkrVfx21CQJpVXTi9u9BUVbpxT5l3-6wCLcBGAsYHQ/s72-c/EXEC-PIX-1.jpg)
Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...