Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-EniQgsmsXDE/Xun6jPl3hII/AAAAAAAEH2o/_hkrVfx21CQJpVXTi9u9BUVbpxT5l3-6wCLcBGAsYHQ/s72-c/EXEC-PIX-1.jpg)
· Yaongeza kiwango cha kukopa, muda malipo na kupunguza riba
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kzELoRP2Aac/XmZSGB_3O_I/AAAAAAALiR8/unsdU9XV-p838dlN1p7imAALjYELJ09fQCLcBGAsYHQ/s72-c/21f1ba3d-771c-48a7-95d0-97a4d5d404ae.jpg)
UFARANSA YATENGA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.10 KWA AJILI YA KUHAMASISHA WATANZANIA KUJUA LUGHA YA KIFARANSA, AGUSIA MAADHIMISHO YA MIAKA 50...
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
NCHI ya Ufaransa imesema kwamba imetenga zaidi ya shilingi Bilioni 1.10 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya lugha ya Kifaransa kwa walimu na maprofesa mbalimbali nchini Tanzania kwa ajili ya kuhakikisha lugha hiyo inazungumzwa na Watanzania wengi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba mkakati wa nchi hiyo ni kuhakikisha lugha ya Kifaransa inaendelea kuwa na watu wengi zaidi ambao watakuwa wanaizungumza kwa ufasaha na kuitumia kama sehemu muhimu ya Mawasiliano...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar
Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. (Picha...
11 years ago
Michuzi28 Mar
10 years ago
StarTV15 Apr
Serikali yatenga tani 13,630 kwa ajili ya chakula cha njaa.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali imesema inaendelea na zoezi la usambazaji wa chakula cha njaa kwenye maeneo yaliyotathminiwa kuwa na upungufu wa chakula ambapo jumla ya tani 13,630 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo na tayari tani 7,560 zimekwishasambazwa kwa walengwa.
Miongoni mwa mikoa hiyo ni pamoja na Arusha, Kilimanjaro, Simiyu, Manyara, Tabora, Mara, Kagera, Lindi, Mtwara, Morogoro, Singida na Katavi.
Uzalishaji wa mazao ya chakula katika msimu wa 2013/14 ulifikia...
10 years ago
Habarileo26 May
Zanzibar yatenga bilioni 16/- kuimarisha demokrasia
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imetenga jumla ya Sh bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha shughuli za kidemokrasia ikiwemo kuiwezesha Tume ya Uchaguzi (ZEC) kuendesha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
9 years ago
Michuzi21 Dec
‘BILIONI 137 ZIMETENGWA KWA AJILI YA ELIMU YA BURE’
![maj2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maj21.jpg)
* Awaonya Wakurugenzi, Maafisa elimu.
SERIKALI imekwishatenga kiasi cha sh. bilioni 137 kwa ajili ya kugharamia utoaji wa elimu ya bure kuanzia Januari hadi Juni, mwakani.
Kauli hiyo imetolewa jana jioni (Jumapili, Desemba 20, 2015) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa uwanja wa mikutano wa Likangala wilayani Ruangwa, mkoani Lindi.
“Kazi ya utumbuaji majipu imezaa matunda kwani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s72-c/b3.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO KWA NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s1600/b3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4PcAAeYq6-M/VMkSLOKwPaI/AAAAAAAG_-s/NEQ7sCbeguA/s1600/b4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Tigo yatenga Shilingi bilioni 12.6 kuunganisha kanda ya Ziwa
Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierez akifafanua jambo alipozungumza na wahariri wa kanda ya Ziwa jana kuhusiana na jinsi ambavyo Tigo imejipanga kuwekeza zaidi ya Sh2.6 bilioni katika kanda ya ziwa kwa mawaka huu.
Kampuni ya simu nza mkononi ya imetenga jumla ya shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya kuwekeza katika ujenzi wa minara mipya na kuboresha utoaji hudumakwa mikoa ya kanda ya ziwa kwa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza leo, Meneja mkuu wa kampuni...
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
NSSF, Singida yatumia Bilioni 1.52 kukopesha vikundi sita vya wajasiriamali
Meneja wa shirika na hifadhi ya jamii NSSF, Magreth Mwaipeta akizungumza na wanachama wa kikundi cha Aminika gold Mine Ltd cha Sambaru Wilaya ya Ikungi, Singida.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.52 kwa ajili ya kuvikopesha vyama sita vya ushirika Mkoani Singida.
Hayo yamebainishwa jana mjini hapa na Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Magreth Mwaipeta wakati akizungumza kwenye semina ya uhabarisho baina ya shirika la...