UFARANSA YATENGA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.10 KWA AJILI YA KUHAMASISHA WATANZANIA KUJUA LUGHA YA KIFARANSA, AGUSIA MAADHIMISHO YA MIAKA 50...
![](https://1.bp.blogspot.com/-kzELoRP2Aac/XmZSGB_3O_I/AAAAAAALiR8/unsdU9XV-p838dlN1p7imAALjYELJ09fQCLcBGAsYHQ/s72-c/21f1ba3d-771c-48a7-95d0-97a4d5d404ae.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
NCHI ya Ufaransa imesema kwamba imetenga zaidi ya shilingi Bilioni 1.10 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya lugha ya Kifaransa kwa walimu na maprofesa mbalimbali nchini Tanzania kwa ajili ya kuhakikisha lugha hiyo inazungumzwa na Watanzania wengi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba mkakati wa nchi hiyo ni kuhakikisha lugha ya Kifaransa inaendelea kuwa na watu wengi zaidi ambao watakuwa wanaizungumza kwa ufasaha na kuitumia kama sehemu muhimu ya Mawasiliano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EniQgsmsXDE/Xun6jPl3hII/AAAAAAAEH2o/_hkrVfx21CQJpVXTi9u9BUVbpxT5l3-6wCLcBGAsYHQ/s72-c/EXEC-PIX-1.jpg)
Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Tigo yatenga Shilingi bilioni 12.6 kuunganisha kanda ya Ziwa
Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierez akifafanua jambo alipozungumza na wahariri wa kanda ya Ziwa jana kuhusiana na jinsi ambavyo Tigo imejipanga kuwekeza zaidi ya Sh2.6 bilioni katika kanda ya ziwa kwa mawaka huu.
Kampuni ya simu nza mkononi ya imetenga jumla ya shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya kuwekeza katika ujenzi wa minara mipya na kuboresha utoaji hudumakwa mikoa ya kanda ya ziwa kwa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza leo, Meneja mkuu wa kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-13-1.jpg)
NMB yawezesha Kilimo cha katani nchini, yatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya matrekta
![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s640/4-13-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-13-1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZzwSmb44S-PMmrwV8Xf2sJkr3PqN5Y7s9ISoBci2nuJ9ogl9d-Kc70FP5yHBBeom3aKPjQXgAvJD6ptj-JxklHL/sugeknight435.jpg?width=650)
SUGE KNIGHT AANGUKA MAHAKAMANI BAADA YA KUTAKIWA KUTOA SHILINGI BILIONI 45 KWA AJILI YA DHAMANA
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Ruwaich ahimiza wanavyuo kujua lugha zaidi ya moja
ASKOFU mkuu wa Jimbo la Mwanza, Juda Thadeus Ruwaich amewahimiza wanafunzi wa vyuo vikuu kujishughulisha na kujibidiisha kujua lugha zaidi ya moja ili kuendana na soko la ajira. Aidha, amewataka...
11 years ago
MichuziViongozi waanza kuwasili nchini kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...
5 years ago
MichuziKWA MARA YA KWANZA WATEJA WA HALOPESA KUNEEMEKA GAWIO,KUPATA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI MOJA
Hatua hiyo ikiwa ni hatua ya kwanza kwa HaloPesa kutoa gawio kiasi cha shilingi bilioni moja kwa wateja wake Zaidi ya Milioni 1.9 ambao ni pamoja na wateja binafsi, mawakala na washirika wake mbalimbali wanatumia huduma za HaloPesa.
Akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar Es Salaam, Mkuu wa kitengo...