SUGE KNIGHT AANGUKA MAHAKAMANI BAADA YA KUTAKIWA KUTOA SHILINGI BILIONI 45 KWA AJILI YA DHAMANA
Suge Knight akiwa mahakamani. Mwanzilishi wa Label ya Death Row, Mario "Suge" Knight jana alianguka mahakamani baada ya jaji kumtaka atoe dola milioni 25 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 45 za Kitanzania kwaajili ya dhamana kwenye kesi yake ya mauaji, kiwango ambacho wakili wake amesema ni kikubwa mno. Wakili wa Suge, alisema mteja wake hawezi kumudu kulipa kiasi hicho cha fedha ambacho Suge aliishiwa nguvu na kuanguka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Suge Knight aanguka mahakamani
10 years ago
Vijimambo03 Feb
SUGE KNIGHT AKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUSHIKWA NA MAUMIVU YA KIFUA AKIWA MAHAKAMANI WAGA HUO
10 years ago
Vijimambo01 May
SUGE KNIGHT ITABIDI ASUBIRI MAYWEATHER ASHINDE PAMBANO LAKE NDIYO ASAHIDIWE PESA YA DHAMANA
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Msanii Suge Knight akamatwa kwa mauaji
10 years ago
Vijimambo03 Feb
SUGE KNIGHT MATATANI TENA, ASHITAKIWA KWA MAUAJI
ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.
Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.
Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili wiki iliyopita katika eneo la kuegesha magari huko Compton, Los Angeles na baadaye...
10 years ago
GPLMSANII WA MAREKANI SUGE KNIGHT AKAMATWA KWA MAUAJI
10 years ago
GPLSUGE KNIGHT ASHITAKIWA KWA MAUAJI NCHINI MAREKANI
10 years ago
Bongo503 Feb
Mwanzilishi wa Death Row Records, Suge Knight ashtakiwa kwa mauaji
10 years ago
GPLCHRIS BROWN ANUSURIKA KIFO, SUGE KNIGHT AKIJERUHIWA KWA RISASI