Zanzibar yatenga bilioni 16/- kuimarisha demokrasia
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imetenga jumla ya Sh bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha shughuli za kidemokrasia ikiwemo kuiwezesha Tume ya Uchaguzi (ZEC) kuendesha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EniQgsmsXDE/Xun6jPl3hII/AAAAAAAEH2o/_hkrVfx21CQJpVXTi9u9BUVbpxT5l3-6wCLcBGAsYHQ/s72-c/EXEC-PIX-1.jpg)
Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Tigo yatenga Shilingi bilioni 12.6 kuunganisha kanda ya Ziwa
Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierez akifafanua jambo alipozungumza na wahariri wa kanda ya Ziwa jana kuhusiana na jinsi ambavyo Tigo imejipanga kuwekeza zaidi ya Sh2.6 bilioni katika kanda ya ziwa kwa mawaka huu.
Kampuni ya simu nza mkononi ya imetenga jumla ya shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya kuwekeza katika ujenzi wa minara mipya na kuboresha utoaji hudumakwa mikoa ya kanda ya ziwa kwa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza leo, Meneja mkuu wa kampuni...
11 years ago
Dewji Blog11 May
CRDB yatenga bilioni moja za kuchangia huduma za jamii nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dkt, Charles Kimei.
Na Nathaniel Limu, Iramba
BENKI ya CRDB imetenga kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni moja katika bajeti yake mwaka huu kwa ajili ya kuchangia katika shughuli mbalimbali za uboreshaji wa huduma za kijamii nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dkt, Charles Kimei amesema hayo kwenye hafla ya kukabidhi visima kwa shule tatu za msingi na sekondari mkoani Singida vilivyofadhiliwa na benki hiyo.
Dkt. Kimei amesema fedha zilizotumika kwa...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi ya uzazi mikoa ya minne
Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14 milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi uzazi mikoa ya minne
Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14 milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Msimamizi wa uchaguzi wa EU ataka vyama vya siasa nchini kuwa na dhamira ya kuimarisha demokrasia
Muangalizi Mkuu wa EU EOM, Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kzELoRP2Aac/XmZSGB_3O_I/AAAAAAALiR8/unsdU9XV-p838dlN1p7imAALjYELJ09fQCLcBGAsYHQ/s72-c/21f1ba3d-771c-48a7-95d0-97a4d5d404ae.jpg)
UFARANSA YATENGA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.10 KWA AJILI YA KUHAMASISHA WATANZANIA KUJUA LUGHA YA KIFARANSA, AGUSIA MAADHIMISHO YA MIAKA 50...
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
NCHI ya Ufaransa imesema kwamba imetenga zaidi ya shilingi Bilioni 1.10 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya lugha ya Kifaransa kwa walimu na maprofesa mbalimbali nchini Tanzania kwa ajili ya kuhakikisha lugha hiyo inazungumzwa na Watanzania wengi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba mkakati wa nchi hiyo ni kuhakikisha lugha ya Kifaransa inaendelea kuwa na watu wengi zaidi ambao watakuwa wanaizungumza kwa ufasaha na kuitumia kama sehemu muhimu ya Mawasiliano...
11 years ago
Habarileo30 Mar
Serikali yatumia bilioni 4.7/-kuimarisha CHF
SERIKALI kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) imetumia zaidi ya Sh bilioni 4.7 kuimarisha huduma za afya kupitia mradi wake wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Fedha hizo ni kuanzia mwaka 2009 wakati NHIF ilipokabidhiwa jukumu la kulea CHF.
9 years ago
Mwananchi14 Sep
TMF yatumia Sh30 bilioni kuimarisha tasnia ya habari