Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRDB yatenga bilioni moja za kuchangia huduma za jamii nchini

DK KIMEI PIX NO 13

Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dkt, Charles Kimei.

Na Nathaniel Limu, Iramba

BENKI ya CRDB   imetenga kiasi cha zaidi ya shilingi  bilioni  moja katika bajeti  yake mwaka huu kwa ajili ya kuchangia katika  shughuli  mbalimbali za uboreshaji wa  huduma za kijamii  nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Dkt, Charles Kimei amesema hayo kwenye hafla ya kukabidhi visima kwa shule tatu za msingi na sekondari mkoani Singida vilivyofadhiliwa na benki hiyo.

Dkt. Kimei amesema fedha zilizotumika kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Saudia yaipatia Serikali ya Tanzania zaidi ya Sh. bilioni 45 kuboresha huduma za jamii nchini.

 Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisaini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu kwa serikali ya Tanzania kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Saudia Mhandisi Hassan Al-Attas. Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akibadilishana hati ya  mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu kwa serikali ya Tanzania waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAPATA TUZO KWA KUCHANGIA ZAIDI HUDUMA ZA JAMII

NMB imeibuka mshindi wa kwanza na wa jumla katika makampuni ya biashara yanayojali zaidi jamii kwa kutoa sehemu kubwa ya faida yake kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo katika jamii ya kitanzania.
Ushindi huo umetokana na utafiti uliofanywa na Taasisi ya utafiti wa huduma za maendeleo ya jamii - Research Centre for Social Development Services kwa kushirikiana na kampuni mwenza ya konsalt limited imetoa tuzo hiyo kwa NMB baada ya kujiridhisha kuwa ndiyo benki inayoongoza kwa kusaidia...

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar yatenga bilioni 16/- kuimarisha demokrasia

Waziri wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar, Omar Yussuf MzeeSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imetenga jumla ya Sh bilioni 16 kwa ajili ya kuimarisha shughuli za kidemokrasia ikiwemo kuiwezesha Tume ya Uchaguzi (ZEC) kuendesha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatenga Shilingi bilioni 12.6 kuunganisha kanda ya Ziwa

IMG_9612

Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierez akifafanua jambo alipozungumza na wahariri wa kanda ya Ziwa jana kuhusiana na jinsi ambavyo Tigo imejipanga kuwekeza zaidi ya Sh2.6 bilioni katika kanda ya ziwa kwa mawaka huu.

Kampuni ya simu nza mkononi ya imetenga jumla ya shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya kuwekeza katika ujenzi wa minara mipya na kuboresha utoaji hudumakwa mikoa ya kanda ya ziwa kwa mwaka 2015.

Akiongea na waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza leo, Meneja mkuu wa kampuni...

 

5 years ago

Michuzi

Faidika yatenga Sh 40 Bilioni kwa ajili ya kukopesha Watanzania

· Yaongeza kiwango cha kukopa, muda malipo na kupunguza riba
Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kibenki ya Faidika imetenga zaidi ya Sh 40 bilioni kwa ajili ya kuwakopesha watanzania wenye ajira kupitia programu ya ‘Mshahara wako, mkopo wako,’
Mkurugenzi Mkuu wa Faidika , Bw. Baraka Munisi alisema kuwa mikopo hiyo inatolewa ndani ya saa 24 endapo mkopaji atatimiza masharti yaliyowekwa.
Bw. Munisi alisema kuwa wameamua kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA yatenga mil. 50/- kuisaidia jamii

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), ndani ya mwaka huu imetenga sh milioni 50 kusaidia mahitaji mbalimbali ya kijamii. Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo, Ahmed...

 

10 years ago

Dewji Blog

Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi ya uzazi mikoa ya minne

DSC05985

Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.

Na Nathaniel Limu, Singida

SHIRIKA  lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14  milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana  utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi uzazi mikoa ya minne

DSC05985

Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.

Na Nathaniel Limu, Singida

SHIRIKA  lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14  milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana  utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na...

 

10 years ago

Michuzi

Utalii wa Wanyamapori na Maendeleo ya Jamii: Mambo yenye uhusiano wa asili na wa moja kwa moja

Balozi wa Marekani Nchini Tanzania,
Mark ChildressSiku ya Kimataifa ya Utalii ambayo huadhimishwa tarehe 27 Septemba inatupa fursa ya kutafakari manufaa na matokeo ya jitihada za uhifadhi wa wanyama pori na utalii kwa jamii zinazozunguka maeneo ambapo shughuli hizi zinafanyika na kwa Tanzania kwa ujumla. Kwa watu wengi duniani kote, kutembelea Tanzania ni jambo la kipekee na la kihistoria katika maisha yao. Kwa Tanzania ziara za watalii hao ni chanzo cha mapato na kichocheo cha uchumi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani