Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo wa Kielektroniki kutumika ukusanyaji wa kodi ya majengo jijini Mwanza

4-aggrey Mwanri akijibu hoja

Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa  Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Aggrey Mwanri.

Na.  Johary Kachwamba
  JIJI la Mwanza limeingizwa katika mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa majengo yote  yanayopaswa kufanyiwa uthamini unaojulikana kama Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS) kupitia mradi wa Miji ya kimkakati (TSCP) unaohisaniwa na Benki ya Dunia. Katika kujibu swali la Mhe.Dkt. Festus Bulugu, Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakosoa mfumo wa ukusanyaji kodi

Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), limeibua maeneo matatu muhimu kama Serikali itaelekeza nguvu zake, itasaidia kukusanya mapato na kuongeza pato la taifa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar

1

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha  (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi  na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa  sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR

Mkurugenzi Mkuu wa VIVA Tower Viral Manek, akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya I&M katika jengo hilo litakalotoa huduma masaa 24, kwa kuweka na kutoa fedha na kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mfumo mpya wa mashine za kieletroniki (ATMs). Kushoto ni mkurugenzi mkuu wa benki hiyo, Bw. Anurag Doreha, Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (katikati) akifafanua jambo baada ya uzinduzi wa tawi jipya la...

 

11 years ago

Michuzi

Vyombo vipya kutumika tamasha la Pasaka jijini Mwanza

KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka imepanga kutumia vyombo vipya vya muziki katika Tamasha la Pasaka, Mei 4 jijini Mwanza.Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama hivi sasa kamati yake bado inaendelea na taratibu za kuvileta vyombo hivyo.     Msama alisema vyombo hivyo vya kisasa wameviagiza nchini China ambavyo ni vya kisasa zaidi katika tasnia ya muziki duniani.Aidha Msama alisema sababu za kuagiza vyombo hivyo vipya ni kuwasaidia wanamuziki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vitambulisho vya kielektroniki kutumika TZ

Tanzania, ambayo pia ni mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki bado haijaanza matumizi ya vitambulisho hivyo na utoaji wake unaendelea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mifumo ukusanyaji kodi inachangia migogoro

MFUMO mbovu wa udhibiti wa tozo mbalimbali za kodi ni moja ya sababu zinazochangia  migomo na mivutano baina ya serikali na wafanyabiashara nchini. Hayo yalibainishwa mwishoni mwa wiki na Makamu...

 

10 years ago

Habarileo

Mfumo wa kielektroniki wa ardhi waja

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akionyesha nyaraka ambazo watumishi wasio waaminifu wa sekta ya ardhi wamekuwa wakizitumia kuwapora wamiliki halali wa viwanja na kumilikisha watu wengine kwa njia za udanganyifu, wakati alipozungumza na watumishi wa sekta hiyo ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam jana. (Picha na Wizara ya Ardhi).SERIKALI iko mbioni kuanzisha mfumo wa kielektroniki wa usimamizi wa ardhi hapa nchini, utakaosaidia kupima, kupanga na kukusanya kodi ya pango la ardhi na kuondoa kero ambazo wananchi wamekuwa wanakumbana nazo katika sekta hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

TRA yajivunia kasi katika ukusanyaji kodi

ISO 9001:2008 CERTIFIEDMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya jumla ya shilingi  trililion 3, 778,097.5 kuanzia mwezi Julai hadi Oktoba 2015 ambayo ni sawa na asilimia  97.6. ya lengo la makusanyo ya sh trilioni 3, 872,337.4 ikiwa ni jitihada za TRA kutekeleza mkakati wa serikali ambao unaitaka kukusanya Ths . Trililioni 12.3 kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Kwa mujibu wa Kamishna  Mkuu wa TRA Rished Bade, mwezi Julai TRA ilikusanya kiasi cha shilingi bilioni 849,582.9 ambacho ni asilimia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani