Vitambulisho vya kielektroniki kutumika TZ
Tanzania, ambayo pia ni mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki bado haijaanza matumizi ya vitambulisho hivyo na utoaji wake unaendelea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mfumo wa Kielektroniki kutumika ukusanyaji wa kodi ya majengo jijini Mwanza
Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Aggrey Mwanri.
Na. Johary KachwambaJIJI la Mwanza limeingizwa katika mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa majengo yote yanayopaswa kufanyiwa uthamini unaojulikana kama Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS) kupitia mradi wa Miji ya kimkakati (TSCP) unaohisaniwa na Benki ya Dunia. Katika kujibu swali la Mhe.Dkt. Festus Bulugu, Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lRXOY8TlRVY/VeTNKwVJ5LI/AAAAAAAH1a4/ZxoSpmwSA3M/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. MAKAME M. MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA WAANDISHI WA HABARI YA KUTANGAZA RASMI KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO NA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI ZA MWAKA 2015 KWENYE UKUMBI WA MIKUTA
Mabibi na Mabwana,Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe 14/08/2015 na kupewa Na. 328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.
Ndugu Wananchi,Teknolojia ya Habari na...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZcZvMzK4F-sZbGzsUxm-G0-U-8wJkMrnFZCRKSk7HWhjZpNfS88gyhtNOf1wLOBuD9WDKT1Ws8SPmMS0EFP9S/unnamed3.jpg?width=650)
VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
9 years ago
GPL16 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Vitambulisho vya Uzanzibari vyazua sokomoko
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Vitambulisho vya bima ni lulu- NHIF
Afisa wa Mfuko wa Taifa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Singida, Isaya Shekifu akiwahamasisha madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida, juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo ili kujihakikishia kupata matibabu hata wakati hawana fedha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WANACHAMA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Singida wameaswa kutunza vizuri vitambulisho vyao kwa madai kuwa vitambulisho hivyo ni sawa na kuwa na fedha taslimu.
Afisa wa Mfuko wa Taifa wa...