Wakosoa mfumo wa ukusanyaji kodi
Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), limeibua maeneo matatu muhimu kama Serikali itaelekeza nguvu zake, itasaidia kukusanya mapato na kuongeza pato la taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mfumo wa Kielektroniki kutumika ukusanyaji wa kodi ya majengo jijini Mwanza
Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Aggrey Mwanri.
Na. Johary KachwambaJIJI la Mwanza limeingizwa katika mfumo wa kielektroniki wa utambuzi wa majengo yote yanayopaswa kufanyiwa uthamini unaojulikana kama Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS) kupitia mradi wa Miji ya kimkakati (TSCP) unaohisaniwa na Benki ya Dunia. Katika kujibu swali la Mhe.Dkt. Festus Bulugu, Mbunge wa Magu, Naibu Waziri wa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mifumo ukusanyaji kodi inachangia migogoro
MFUMO mbovu wa udhibiti wa tozo mbalimbali za kodi ni moja ya sababu zinazochangia migomo na mivutano baina ya serikali na wafanyabiashara nchini. Hayo yalibainishwa mwishoni mwa wiki na Makamu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7vukd9u0aRI/VkMaKSFvL7I/AAAAAAAAmSU/z1qgafVFHwE/s72-c/tra.png)
TRA yajivunia kasi katika ukusanyaji kodi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7vukd9u0aRI/VkMaKSFvL7I/AAAAAAAAmSU/z1qgafVFHwE/s640/tra.png)
Kwa mujibu wa Kamishna Mkuu wa TRA Rished Bade, mwezi Julai TRA ilikusanya kiasi cha shilingi bilioni 849,582.9 ambacho ni asilimia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ajr9EHjRoFQ/Vk7pYKryX6I/AAAAAAAIG-A/zWIrW9aOWaE/s72-c/New%2BPicture.png)
SERIKALI YABORESHA MFUMO WA UKUSANYAJI WA MAPATO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ajr9EHjRoFQ/Vk7pYKryX6I/AAAAAAAIG-A/zWIrW9aOWaE/s320/New%2BPicture.png)
Hayo yamesemwa na msemaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI) Bi. Rebecca Kwandu leo jijini Dar es salaam.
Bi Rebecca amesema kuwa TAMISEMI imekuwa ikiendelea kwa nyakati tofauti kufanya maboresho mbalimbali ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa jamii na kuzisaidia mamlaka hizo katika kuongeza mapato ya ndani na...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Serikali yaboresha mfumo wa ukusanyaji mapato
Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki kutoka Benki Kuu ya Tanzania Bw. Martian Kobelo (wa pili kulia) akiwaeleza waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu utunzaji sahihi wa fedha za noti na sarafu. Kulia ni Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa Bw. Bernard Dadi na kushoto ni Mshauri wa Huduma za Kibenki Bw. Hassan Jarufu.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa kutoka Benki Kuu ya Tanzania Bw. Bernard Dadi (kulia) akiwaeleza waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu mfumo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-97JBUxTnQSk/VSuTRXBxR_I/AAAAAAAC3EU/AB51KvUQEhs/s72-c/6.jpg)
TRA kutoa mafunzo ya ukusanyaji kodi wa washiriki 150
![](http://2.bp.blogspot.com/-97JBUxTnQSk/VSuTRXBxR_I/AAAAAAAC3EU/AB51KvUQEhs/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FWtY9RP09kc/VSuTSCzTz5I/AAAAAAAC3Eg/FbHkNMHq2yg/s1600/7a.jpg)
9 years ago
Habarileo05 Jan
Ashauri uwepo mfumo wa pamoja wa ukusanyaji sadaka
TAASISI za Kiislamu nchini zimeshauriwa kushawishi kuwepo kwa mfumo wa pamoja wa ukusanyaji wa zaka na sadaka zilete tija katika kundi kubwa la jamii ya Kiislamu.
10 years ago
VijimamboSELCOM WAZINDUA UKUSANYAJI WA KODI KWA NJIA ZA KIELEKTRONIC MANSIPAA YA MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uZ1tqRQRY_c/VTEfaCqwtuI/AAAAAAAHRrE/y2thjXRrYvk/s72-c/1.jpg)
TRA yawapa somo wachina kuhusu sheria za ukusanyaji kodi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-uZ1tqRQRY_c/VTEfaCqwtuI/AAAAAAAHRrE/y2thjXRrYvk/s1600/1.jpg)