SELCOM WAZINDUA UKUSANYAJI WA KODI KWA NJIA ZA KIELEKTRONIC MANSIPAA YA MOROGORO
Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro Mohamed Lukwele kushoto akiwa na Meneja Ukuzaji Biashara na Masoko wa kampuni ya Selcom, Juma Mgori na Meneja miradi wa Selcom Gallus Runyeta wakati wa uzinduzi wa mashine ya ukusanyaji wa kodi kwa njia za kielektronic mkoa wa Morogoro
Meneja miradi wa Selcom Gallus Runyeta kushoto akimwelekezaKaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Bakari Sagini jinsi ya kutumia mashine ya ukusanyaji wa kodi kwa njia za kielektronic wakati wa uzinduzi rasmi wautumiaji wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Mar
SELCOM KUIWEZESHA MANISPAA YA MOROGORO KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO KWA NJIA ZA KIELEKTRONIC
10 years ago
MichuziSELCOM YAWEZESHA MALIPO YA PANGO YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
VijimamboSELCOM YAMWAGA MAPESA KWA WASHINDI WA SHINDA NA SELCOM
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s72-c/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
SELCOM YALETA MFUMO MPYA NA WA KISASA WA MALIPO YA TIKETI ZA TAMASHA LA “KILIFEST” KWA KUTUMIA “SELCOM CARD”
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
Kati ya mawakala wa Selcom zaidi ya 15,000 wanaopatikana nchi nzima ni mawakala 40 tu wameochaguliwa kuuza tiketi za KiliFest kwenye vituo vyao na wote hao wanapatikana Dar es salaam.
Baada...
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
TRA yadhamiria kufikia malengo katika ukusanyaji kodi kwa mwaka mpya wa fedha
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Rished Bade akiwaeleza wajumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi kuhusu kuanza kutumika kwa sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la thamani ya mwaka 2014 iliyoanza kutumika kuanzia Julai 1, 2015 na jinsi itakavyobadilisha baadhi ya mifumo ya kibiashara,wakati wa Semina ya pamoja Kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA) Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi...
10 years ago
GPLNMB, AIRTEL WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wakosoa mfumo wa ukusanyaji kodi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qcO4EDD_hYM/VSaiJlMXZbI/AAAAAAAC3AM/1JuEzoJkspI/s72-c/1.jpg)
AIRTEL NA NMB WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-qcO4EDD_hYM/VSaiJlMXZbI/AAAAAAAC3AM/1JuEzoJkspI/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IOD3SpnVUdE/VSaiiQAGOnI/AAAAAAAC3Ac/Z4D4YBZmHNs/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BJo6fFWiuVI/VSaiebYaCwI/AAAAAAAC3AU/ODGrzZF2VL0/s1600/3.jpg)