TTCL lapinga madai ya TEWUTA kudorora kwa huduma
Wakati Chama cha Wafanyakazi wa Huduma za Mtandao wa Mawasiliano TEWUTA kikidai kuwepo kwa hali mbaya ya huduma na utendaji kwenye shirika la simu nchini TTCL, uongozi wa shirika hilo umeutaka umma wa Tanzania kutozingatia tamko hilo kwa kuwa halina maslahi yoyote kitaifa.
TTCL inasema shirika lake linaendelea vema kutoa huduma kwa wananchi na wanaamini hivyo kwa kuwa halijapata malalamiko yoyote yanayohusiana na utoaji huduma duni kutoka kwa wateja.
Start Tv imetembea ofisi za TTCL makao...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wKcNQEc4vyc/VkNV9KdfnvI/AAAAAAAAFdg/Zm0-fkDpK1M/s72-c/IMG_0177.jpg)
KAMPUNI YA TTCL YAKANUSHA MADAI YA TEWUTA, YADAI HAYANA UKWELI WOWOTE
![](http://1.bp.blogspot.com/-wKcNQEc4vyc/VkNV9KdfnvI/AAAAAAAAFdg/Zm0-fkDpK1M/s640/IMG_0177.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g7RKKQtGAVw/VkNWCUc6YRI/AAAAAAAAFdo/W05sSHNQR3I/s640/IMG_0165.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/1PpUOAHVOkE/default.jpg)
huduma mpya ya TTCL ya kupata matangazo ya Televisheni kwa njia ya internet
9 years ago
VijimamboKAMPUNI KONGWE YA MAWASILILIANO TANZANIA (TTCL) YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
TTCL Wazinduwa Wiki ya Huduma kwa Wateja, Kuwatembelea Wateja Popote
![](http://1.bp.blogspot.com/-dlrEaJEiGjs/VhuTRuXF7AI/AAAAAAAAEx4/Xj0wS4Xecqc/s640/IMG_0167.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHxVCTgy67o/VhuTQUJueRI/AAAAAAAAExk/9kWiFZBnIRc/s640/IMG_0153.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
TTCL kuimarisha huduma za intaneti
KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imewashawishi Watanzania kuendelea kutumia huduma zake mwaka 2014, huku ikiahidi kuimarisha huduma katika sauti, data na intaneti. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
TTCL kuzindua Huduma ya 4G LTE kesho
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo siku ya uzinduzi itatoa huduma katika maeneo 11 Jijini Dar es salaam.
Maeneo hayo ni pamoja na Uwanja wa Ndege wa Mwl J.K. Nyerere, Pugu Road, Posta Mpya, Upanga, Kinondoni, Ubungo, Oysterbay, Mwenge, Mbezi Tangibovu, Mbezi Exchange, Kunduchi Salasala na Wazo Tegeta. Awamu pili itakuwa kupeleka mawasiliano hayo katika maeneo...
9 years ago
StarTV30 Nov
 Utamaduni ya kujisomea vitabu wadaiwa kudorora kwa  Madadiliko Ya Kijamii
Kushuka kwa kiwango cha elimu nchini kunatajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na Watanzania kuacha utamaduni wa kujisomea ambapo mabadiliko ya kijamii yakidaiwa kuharibu utamaduni huo.
Inaelezwa kuwa watoto na wazazi huchukua muda mwingi kuangalia televisheni na hivyo kutotilia maanani suala la kujisomea na kuwahamasisha watoto kusoma vitabu mbalimbali vyenye mafunzo ya kuwajengea uwezo katika maisha yao.
Hili la kudumaa kwa utamaduni wa kujisomea limesababisha pia kudumaa na kushuka kwa...
10 years ago
Michuzi12 Jun
TTCL Yakabidhi Mradi wa Huduma za Mawasiliano TBL
![Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya TBL, Kevin O'Flaherty hati ya makabidhiano ya mradi wa kuyaunga kimawasiliano ya kisasa matawi ya kampuni ya bia Tanzania (TBL) jana jijini Dar es Salam, hafla hiyo iliyofanyika ofisi za TBL Ilala jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/TTCL13.jpg)
![Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (kulia) akisaini hati ya makabidhiano ya mradi wa kuyaunga kimawasiliano ya kisasa matawi ya kampuni ya Bia Tanzania (TBL) jana jijini Dar es Salam, kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya TBL, Kevin O'Flaherty akiiwakilisha kampuni yake katika hafla hiyo iliyofanyika ofisi za TBL Ilala jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/TTCL8.jpg)